Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,351
Inaelekea nyie watu mnaovaa vikofia vyenu kama ulichovaa hapo ndo tabia zenu halafu mnajidanganya eti mnafunga na wakati midhambi kibao akilini..!
Kikofia hata maaskofu huvaa, watemi wetu, Wavietnam wote huvaa vikofia... Sijafunga, nina midhambi kibao!
Usijitie kunijua, kama wataka kunijua sema kijana.