Uhusiano kati ya kiu ya maji na mauti

Uhusiano kati ya kiu ya maji na mauti

Hydrazin

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2015
Posts
253
Reaction score
372
Though hatuwezi kuwa na jibu kulingana na experience but we can think about it kufwatana na uelewa, imani n.k, kama kichwa kinavyoeleza si kitu kigeni masikioni mwako au pengine umewahi kushuhudia mwenyewe baadhi ya wagonjwa dakika za mwisho kabla ya umauti kuwafika huwatuma watu wanaowauguza kuwachukulia maji ya kunywa though wengi wao huwa hata hawafanikiwi kuyanywa yale maji, process ya mpaka mtu kutokwa na roho inaambatana na energy kubwa ambayo pengine hupelekea hadi mtu kuhisi kiu; najaribu tu kuwaza je mwenzangu unawaza nini??
 
Though hatuwezi kuwa na jibu kulingana na experience but we can think about it kufwatana na uelewa, imani n.k, kama kichwa kinavyoeleza si kitu kigeni masikioni mwako au pengine umewahi kushuhudia mwenyewe baadhi ya wagonjwa dakika za mwisho kabla ya umauti kuwafika huwatuma watu wanaowauguza kuwachukulia maji ya kunywa though wengi wao huwa hata hawafanikiwi kuyanywa yale maji, process ya mpaka mtu kutokwa na roho inaambatana na energy kubwa ambayo pengine hupelekea hadi mtu kuhisi kiu; najaribu tu kuwaza je mwenzangu unawaza nini??

SIE watu wa IMAAN unaambiwa process ya kutoka roho sawa sawa na umchukue MBUZI alafu ACHUNWE ngozi yake... akiwa HAI...

pia roho hutoka kwa uchungu wa hali ya juu sana
 
Kwa imani ya dini ya kiislam na mafunzo yake hili jambo limeelezwa. ...kwamba wakati wa kutoka roho mwanadam yeyote hupata kiu kikubwa sana inavyosemekana hata kama ataletewa bahari nzima kwa wakati ule haiwezi kuondosha kiu hile.

Wallahi mungu yupo na nguvu zake tunaziona .....
 
KIIMANI:
Roho ya mtu inapoacha mwili huwa Mara nyingi haitaki mtu ashuhudie hivyo anapokutuma kalete hiki au kile(Mara nyingi huwa maji) ni njia/janja ya kukutoa ili uhai umtoke. Ndo maana mara nyingi unapokuwa unarud ndio utakuta anamalizikia kukata roho!.
 
Kwa imani ya dini ya kiislam na mafunzo yake hili jambo limeelezwa. ...kwamba wakati wa kutoka roho mwanadam yeyote hupata kiu kikubwa sana inavyosemekana hata kama ataletewa bahari nzima kwa wakati ule haiwezi kuondosha kiu hile.

Wallahi mungu yupo na nguvu zake tunaziona .....
Swadakta Mkuu Sakaratul Mauti uchungu wake haina mfano.
 
Back
Top Bottom