Ndio maana Kabudi yuko hovyo namna ile... umenipa mwanga mkuu.Hivi kuna uhusiano wowote kati ya watu wenye uso na sura zilizomwagika na IQ? Sura za kumwagika zimezubaa na boring na wala hazivutii, na wengi wana low IQ, hii observation yangu binafsi, …
Unatumia vigezo gani kupima hizo IQ za hao watu, tuanzie hapo Kwanza mkuu ili tuchangie mada tukiwa na syllabusHivi kuna uhusiano wowote kati ya watu wenye uso na sura zilizomwagika na IQ? Sura za kumwagika zimezubaa na boring na wala hazivutii, na wengi wana low IQ, hii observation yangu binafsi, …
Hivi kuna uhusiano wowote kati ya watu wenye uso na sura zilizomwagika na IQ? Sura za kumwagika zimezubaa na boring na wala hazivutii, na wengi wana low IQ, hii observation yangu binafsi, …
Alafu wanakuuliza maswali ambayo mengine hayahusiani na asili,yaani ni man made afu eti niyajibu kwa ufasaha na haraka!Shule zilitudanganya kupima IQ ya mtu kwa kutumia makaratasi ndani ya dakika kazaa.😂
Wametumia Sana mamitihan yao kutuweka alama za huyu mwehu huyu ana akili... Elimu imekatisha tamaa mioyo wengi Sana😂😂Alafu wanakuuliza maswali ambayo mengine hayahusiani na asili,yaani ni man made afu eti niyajibu kwa ufasaha na haraka!
Acha wivu bro.Ndio maana Kabudi yuko hovyo namna ile... umenipa mwanga mkuu.
Sina mdogo shoga mimi...Acha wivu bro.
Acha wivu utapigwa mimba asubuhiSina mdogo shoga mimi...