Uhusiano kati ya IQ na Sura za kumwagika

Hivi kuna uhusiano wowote kati ya watu wenye uso na sura zilizomwagika na IQ? Sura za kumwagika zimezubaa na boring na wala hazivutii, na wengi wana low IQ, hii observation yangu binafsi, …
Ndio maana Kabudi yuko hovyo namna ile... umenipa mwanga mkuu.
 
Hivi kuna uhusiano wowote kati ya watu wenye uso na sura zilizomwagika na IQ? Sura za kumwagika zimezubaa na boring na wala hazivutii, na wengi wana low IQ, hii observation yangu binafsi, …
Unatumia vigezo gani kupima hizo IQ za hao watu, tuanzie hapo Kwanza mkuu ili tuchangie mada tukiwa na syllabus
 
IQ Aikai usoni ipo kwenye ubongo sasa wewe unafikiria vitu ambavyo ata mtoto afikirii hivyo
Hivi kuna uhusiano wowote kati ya watu wenye uso na sura zilizomwagika na IQ? Sura za kumwagika zimezubaa na boring na wala hazivutii, na wengi wana low IQ, hii observation yangu binafsi, …
 
Sura ya kumwagika ndy Sura ya Aina gani..tuanzie hapo Kwanza!!

Km unamaanisha Sura mbaya,Vp Remy ongala? Wasira?
 
Hata Fid Q anawazidi,anasema 'naweza kuwa slow but brain ika-speed up!'
 
Alafu wanakuuliza maswali ambayo mengine hayahusiani na asili,yaani ni man made afu eti niyajibu kwa ufasaha na haraka!
Wametumia Sana mamitihan yao kutuweka alama za huyu mwehu huyu ana akili... Elimu imekatisha tamaa mioyo wengi Sana😂😂
 
watu wanajinyonga eti kisa kashindwa kubalance equation ya ethanol.
kumbe huyuhuyu anakumbuka hatua za kumuhudumia mbuzi tangu mdogo hadi anakua!
 
Back
Top Bottom