Uhusiano baina ya Radi na simu za mkononi

Uhusiano baina ya Radi na simu za mkononi

kALEnga kidamali

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
542
Reaction score
753
Kumekuwa na dhana kuwa wakati radi ikipiga huku ukiwa na simu iliyowaka kuna uwezekano ukadhurika na radi kutokana na uhusiano wa karibu kati ya umeme wa simu na umeme wa radi.

Sasa je, ni upi ukweli halisia juu ya dhana hii katika maisha ya kawaida? Je ni kweli tunapaswa kuendelea kuwa na hofu hiyo au hatupaswi?

Karibuni tusemezane kwa hili
 
relax, aya majengo marefu unayoyaona au minara ya simu, au nguzo za umeme zile zenye msongo mkubwa, ina vuta radi iende kwao, then inatokomea ardhini, kupitia hiki kifaa Lightning Rod ( au surge arrester)

Radi ina 'hit' vitu virefu (vilivyochongoka hasahasa)

labda uwe kwenye open space kubwa na ivyo vitu(minara, gorofa,mti mrefu) viko mbali(au hakuna)

Thanks to Benjamin Franklin
 
Kifaa chochote cha kielektroniki lazima kiwe kinatumia umeme.

Au ili uelewe zaidi, toa hiyo battery yako ya simu alafu ujaze makukuru kwenye hiyo sehemu uliyotoa betri kisha washa simu yako
Aliyehoji anajua unachoongea ila anakubabaisha kutakana na jinsi ulivyouliza swali.
Sasa je, ni upi ukweli halisia juu ya dhana hii katika maisha ya kawaida? Je ni kweli tunapaswa kuendelea kuwa na hofu hiyo au hatupaswi?
Inaweza kuwa hatari unapokuwa sehemu wazi na isiyo na miti/majengo, mfano ukiwa baharini.
 
Ingekuwa simu inasababisha radi hadi sasa tungeishazika watu wengi sana maana radi haitoi taarifa kuwa inakuja ili uzime simu. Unaposikia ngurumo wa radi hapo ujue tayari ilishamaliza kazi.
 
Umeelewa kweli kilichosemwa na mtoa mada?
Ingekuwa simu inasababisha radi hadi sasa tungeishazika watu wengi sana maana radi haitoi taarifa kuwa inakuja ili uzime simu. Unaposikia ngurumo wa radi hapo ujue tayari ilishamaliza kazi.
 
relax, aya majengo marefu unayoyaona au minara ya simu, au nguzo za umeme zile zenye msongo mkubwa, ina vuta radi iende kwao, then inatokomea ardhini, kupitia hiki kifaa Lightning Rod ( au surge arrester)

Radi ina 'hit' vitu virefu (vilivyochongoka hasahasa)

labda uwe kwenye open space kubwa na ivyo vitu(minara, gorofa,mti mrefu) viko mbali(au hakuna)

Thanks to Benjamin Franklin
Ahsante mkuu nimekupata, kwa hiyo kwenye hayo mazingira yasiyo na vitu virefu radi inaweza ikamuathiri ambaye atakuwa na simu isiyozimwa si ndio....
 
Ahsante mkuu nimekupata, kwa hiyo kwenye hayo mazingira yasiyo na vitu virefu radi inaweza ikamuathiri ambaye atakuwa na simu isiyozimwa si ndio....
Naweza nikakubaliana na hili. Maana kunabwana ali Rest in Peace akikatiza uwanja wa mpira (nadhani alikuwa akiongea na simu) maana pembeni ikiokotwa simu yake.
 
Aliyehoji anajua unachoongea ila anakubabaisha kutakana na jinsi ulivyouliza swali.

Inaweza kuwa hatari unapokuwa sehemu wazi na isiyo na miti/majengo, mfano ukiwa baharini.
dah jf mnanifundishaga mambo mengi nawakubali sana jf members wote
 
Back
Top Bottom