Kuna ubaya gani ukihamia huko -tuachie nchi yetu
kweli kabisa. haya makenge yanayomsifia kenyata yaende kuishi huko kenya.
Kuna ubaya gani ukihamia huko -tuachie nchi yetu
kweli kabisa. haya makenge yanayomsifia kenyata yaende kuishi huko kenya.
Hii ni mada tu, so itakuwa na wapingaji hivyo sio lazima na wewe uunge mkono ndugu yangu mbona mnapenda kujipa stress ambazo hazina kichwa wala miguu! Hay msifie kikwete roho yako itulie
Mrugaruga hata nikikusamehe huwezi kujisamehe wewe mwenyewe.
Mara hii nishakuwa Ridhi one.
You are one nutcase.
"Vidore" ni kitu gani Mrugaruga?
Bila shaka utakuwa shabiki wa Manchester untd au kama sio basi utakuwa arsenal maana siku hawa watu wana hasira kali sana! Jamani hapa tunapotezea muda kwa kujifurahisha tu haina maana kugombana, sorry once again
huyo kenyata mnaemsifia ni ukabila tu umembeba.. nendeni kwa wajaluo muone wanavyomchukia... hamna nchi wananchi wake wanateseka east afrika kama kenya
I don't watch or follow soccer Mrugaruga.
There you go again with your shallow assumptions.
Kama kijijini kwenu kila mtu ama ni mshabiki wa Manchester ama Arsenal basi unafikiri kila mtu ana ushabiki na mchezo huu.
Unazidi kujidhihirisha kuwa u mtupu.
I'm wasted time to argue with VOYEUR! Tukutane kwenye mada ingine badae
Kuna watu hii mada imewauma sana utazani huwa wanaenda kupanga mstali ikulu ili wapate mahitaji yao muhimu! Hebu acheni complain za kijinga fanya kazi zako mkono uende kinywani, huyo Uhuru wala kikwete hawezi kukuletea mkate humu, ukereketwa gani wa kitoto huo. Mchana mwema
Imekuwa ni tabia ya Uhuru Kenyatta rais wa Kenya kuishi maisha ambayo sio yaliozoeleka kwa viongozi wengine wa Africa..kwa sasa ni rais anaetembea na msafara mdogo sana kuliko wote E Africa pmoja na tishio la ugaidi kenya. Na wiki mbili zilizopita amekutwa akiwa na gari Moja na security details wanne akielekea hotelini kwenye kikao cha kifamilia, na alipo kuwa kwene trafic lights alimsalimia police, na watu wengine.
KIBOKO ni hii.
Jana amekuja tanzania kupitia Boda ya Namanga arusha na magari yasiyozidi nane (mengine ni ya serikali ya tanzania yaliyoenda kumpokea) na amesema baada ya kufungua bunge la Africa mashariki atarudi kenya kupitia boda ya Taveta ipo kilimanjaro rombo.
Ikumbukwe majuzi juzi rais huyu amejiondolea mshahara wake zaidi ya 20% na amewataka viongozi wa nyadhifa serikalini wapunguziwe 20%.
Ikumbukwe huyu rais hapendi kuzurura nchi za watu anaamini uchumi wa kenya sio yeye peke yake anaweza kuuinua ndio maana kadeligate power kwa waziri wa mashauriano ya kigeni..ana nguvu sana.
Lipo la kujifunza. Kenyatta sio limbukeni pengine ni kwa sababu ni mtoto wa aliekuwa rais wa kenya. Sijui but the guy ni gentleman hata uwezo wa kumanage diplomasia za nchi hizi masikini Tanzania, uganda, rwanda,burundi na kongo anaweza. Hana adui wa kudumu, hana rafiki wa kudumu. Ana maslahi ya kudumu.
Imekuwa ni tabia ya Uhuru Kenyatta rais wa Kenya kuishi maisha ambayo sio yaliozoeleka kwa viongozi wengine wa Africa..kwa sasa ni rais anaetembea na msafara mdogo sana kuliko wote E Africa pmoja na tishio la ugaidi kenya. Na wiki mbili zilizopita amekutwa akiwa na gari Moja na security details wanne akielekea hotelini kwenye kikao cha kifamilia, na alipo kuwa kwene trafic lights alimsalimia police, na watu wengine.
KIBOKO ni hii.
Jana amekuja tanzania kupitia Boda ya Namanga arusha na magari yasiyozidi nane (mengine ni ya serikali ya tanzania yaliyoenda kumpokea) na amesema baada ya kufungua bunge la Africa mashariki atarudi kenya kupitia boda ya Taveta ipo kilimanjaro rombo.
Ikumbukwe majuzi juzi rais huyu amejiondolea mshahara wake zaidi ya 20% na amewataka viongozi wa nyadhifa serikalini wapunguziwe 20%.
Ikumbukwe huyu rais hapendi kuzurura nchi za watu anaamini uchumi wa kenya sio yeye peke yake anaweza kuuinua ndio maana kadeligate power kwa waziri wa mashauriano ya kigeni..ana nguvu sana.
Lipo la kujifunza. Kenyatta sio limbukeni pengine ni kwa sababu ni mtoto wa aliekuwa rais wa kenya. Sijui but the guy ni gentleman hata uwezo wa kumanage diplomasia za nchi hizi masikini Tanzania, uganda, rwanda,burundi na kongo anaweza. Hana adui wa kudumu, hana rafiki wa kudumu. Ana maslahi ya kudumu.
Kwa taarifa yako wabongo wote wanapanga mstari Ikulu kwa namna moja ama nyingine.
Halafu since umenivisha cheo cha kifimbocheza, "utazani" si neno, neno sahihi ni "utadhani". Pia "mstali" si neno, neno sahihi ni mstari. Inaonekana una tatizo la kuweka r panapotakiwa l na l panapotakiwa r.
Inawezekana una a dyslexic condition, magonjwa ya akili mengi sana hayawi diagnosed.
"I'm wasted time".
Hilarious.
You will do well to enroll in some basic language classes.
For both Swahili and English.
Napenda sana watu wa kujitolea kama wewe ili me nijifunze hivo naomba nishkuru kwani uliacha mambo yako muhimu ambayo yangeingiza ata 100, lakini ukawa na kiherehere,kimuhemuhe bila kusahau muwasho hadi ukanielekeza mambo muhimu! Asante tena
labda rais wa kuchora, ila huyu wa asilia mfyuuuuuuuuu! Ni zaidi fisadi!, amalize muda wake aenderais wa tanzania afanye naye hivyo,asiwe mzigo kwa wanyonge