The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,416
Ameyasema hayo katika sherehe za uhure wa kenya leo,Nukuu
''Serikali nyingi Africa zinajiendesha kwa kukomoa matajiri ,wanaamini unaweza kumuimarisha mnyonge kwa kumudhorotesha mwenye nguvu...''
Nini maoni yako juu ya serikali yetu na kauli hii.
''Serikali nyingi Africa zinajiendesha kwa kukomoa matajiri ,wanaamini unaweza kumuimarisha mnyonge kwa kumudhorotesha mwenye nguvu...''
Nini maoni yako juu ya serikali yetu na kauli hii.