Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,836
Hahaha ustaarabu zero. Matusi ya nini sasa leta hoja. Matusi ni dalili ya kukosa hoja.Msijifungie milango na kuanza kushusha kipondo kwa watoto wenu, mnajigamba kabisa eti musituingilie tunapiga wakwetu!
Nyambafu wewe chunga sana usijikwae utang'oka kidole.