Uhuru Kenyatta amtembelea rais Kagame

Uhuru Kenyatta amtembelea rais Kagame

VERITE-NUE

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
1,481
Reaction score
1,450
Rais mstaafu wa Kenya, Uhuru Kenyatta, ambae ni mpatanishi katika mzozo wa kisiasa kati ya Rwanda na Congo,leo amemtembelea rais Kagame wa Rwanda. Ni katika juhudi za kutafuta suruhu la kudumu,ili kuleta amani ya kudumu,mashariki mwa Congo huko.
 
Back
Top Bottom