Uhuru katika Mahusiano?

Just to show that he is Γ  Baharia in such πŸ˜‚
 
Natoa TU dukuduku moyoni...HAIJAWAI TOKEA NIKADANGANYWA HIVI....hapa ukweli najua... Ninaumiaa TU rohoni yaani sana
Pole sana mama ila next time usiamini blindly, sio kila mwanaume ni muhuni! Tungekuwa pamoja now ila tatizo ulini ignore bure tu.
 
Mawasiliano ndo Key, yakikosekana au kulegelega basi jua you are a few yards before breakup
 
Huyo alizidi aisee...ndio tabu ya ku date wanafunzi wa sekondari.
 
Pole sana mama ila next time usiamini blindly, sio kila mwanaume ni muhuni! Tungekuwa pamoja now ila tatizo ulini ignore bure tu.
[emoji1][emoji1][emoji1].... Kwaiyo Wewe ndo Sio baharia eeh
 
Yani huo ulalamishi kwa mwanamke nayempenda inakuwa kama starter. Ntampa maneno malaini hadi ashindwe na kulegea.

Mwisho anabaki tu,,,"mmh kweli?"..."Siamini bana"...mmh kweli G?"..."Asante mume"

Siwezi kukwambia kata simu wakati nakuzimia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hili nililitarajia, na asubuhi nilikwambia, kila la kheri
Nikweli ulisema... Ndo hivyo
Roho imenijaa nahisi kupenda Sana...hata sielewi Jamani...
Doooh Itabidi niswali Istikhara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…