Uhuni wa wanawake

Joined
Jan 13, 2018
Posts
38
Reaction score
50
Sasa wadau kila nikisema wanawake wengine wavaaga kishetani/kimalaya mnakataaga.kuna wanawake ninao kwenye list yangu ni wanavaaga kihuni sana.mimi niwaonye tu hadharani waache utovu wa maadili na wavae vizuri.leo naweka uthibitisho kwa picha ya namna wanavyovaaga kimalaya,mnataka mnunuliwe haraka? Acheni haraka umalaya wa mitandaoni.na wengine wanajidai waislam wa swala tano,OMG.

Kwa hali hii hawa wanawake wafanyweje ili kuliokoa taifa na hili janga?
 
wewe utakuwa ulikataliwa tu sasa unataka kutuaminisha mambo mengine ili tuanze kuwaporomoshea matusi
 
Kwan akivaa au kukaa hivyo ndo anataka kununliwa
 
Unamiaka mingapi wewe....?mbona vitu vya kawaida tu hivyo....
 
wewe umeuona wapi hapo uchi kama siyo chuki binafsi ni nini kingine?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…