Uhuni huu wa clouds fm!

Uhuni huu wa clouds fm!

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
8,098
Reaction score
10,934
Jana nilikuwa nafuatilia kipindi cha michezo cha clouds FM ambao walikuwa wanatoa updates za mechi ya Simba na ENTENTE!
Nilisikitishwa na namna watangazaji walivyokuwa wanashangilia Simba ilivyokuwa inafungwa.Nikajiuliza hivi inakuwaje Redio inayotangazia umma inakuwa na watngazaji wa aina ile !Hatuwawazii kuichukia Simba simba laini kama public entity wanatakiwa kuwa fare! Kilinichonishangaza na kuhoji ufahamu wao kuhusu mashidano hayo ni kutokuwa na habari kuwa simba ilikuwa nafasi kubwa ya kufunga bao moja na kusonga mbele na ndicho kilichotokea ....!ACHENI UJINGA WA KUTUKANA NA BAADAYE MANAIBIKA ......pUMBAVU SNA MNAKUWA KAMA HAMWAJUI SIMBA BANA
 
Mkuu uko sawa! mimi pia kwa bahati nzuri nilisikiliza matangazo yao,nilishangazwa pia,Shafi na wenzake wamedhihirisha Uyanga wao! lakini kwa staili ile soka letu litabaki nyuma milele!
 
Mi pia niliwasikiliza na kushangazwa na unazi wa kejeri ulioonyeshwa na kina Shaffi,Lwambano na mbwiga,wachambuzi na watangazaji wa namna hii ni tatizo kwa maendeleo ya soka la Tanzania.
 
eti simba kama chupa ya chai.. ilikoingilia ndio inakotokea huyu mtu mbwiga ana mdomo mchafu sana.. shenz kbs
 
At least wamekula maneno yao!!! Simba imesonga mbele
Ila kama ulivyosema hao ndio aina ya wachambuzi wa soka tulionao ambao kwa bahati mbaya watumia hisia kuchambua badala ya ubongo
 
Jana nilikuwa nafuatilia kipindi cha michezo cha clouds FM ambao walikuwa wanatoa updates za mechi ya Simba na ENTENTE!
Nilisikitishwa na namna watangazaji walivyokuwa wanashangilia Simba ilivyokuwa inafungwa.Nikajiuliza hivi inakuwaje Redio inayotangazia umma inakuwa na watngazaji wa aina ile !Hatuwawazii kuichukia Simba simba laini kama public entity wanatakiwa kuwa fare! Kilinichonishangaza na kuhoji ufahamu wao kuhusu mashidano hayo ni kutokuwa na habari kuwa simba ilikuwa nafasi kubwa ya kufunga bao moja na kusonga mbele na ndicho kilichotokea ....!ACHENI UJINGA WA KUTUKANA NA BAADAYE MANAIBIKA ......pUMBAVU SNA MNAKUWA KAMA HAMWAJUI SIMBA BANA

Mkuu sidhani kama uko sahihi kuhusu hilo,jamaa walikuwa wanachambua tu kawaida,labda ushabiki umekuzidia,ikumbukwe pia kwa simba kusonga mbele wao wanafaidika kwa kampuni yao kusimamia michezo ya simba hapa dare salaam,hivyo hawawezi fanya hivyo period!
 
Mkuu sidhani kama uko sahihi kuhusu hilo,jamaa walikuwa wanachambua tu kawaida,labda ushabiki umekuzidia,ikumbukwe pia kwa simba kusonga mbele wao wanafaidika kwa kampuni yao kusimamia michezo ya simba hapa dare salaam,hivyo hawawezi fanya hivyo period!
We usiwe kama hutumii akili ni wazi kama ulifatilia michezo extra walikejeli sana na kufurahia simba kufungwa na walifikia hatua kusema hata kabla ya mpira kuisha kuwa simba hawana cha kufanya, nakuanza kusema kufa kafa baba yako we nani usife. Bahati nzuri wote waliumbunga pumbavu zao. Acha ushabiki wa kijinga.
 
Ni kwel kaka jana jamaa kabisa walionesha kufurahia simba kufungwa hasa huyo mbwiga lakin mungu akawaumbua
 
Kuna jamaa aliwasms na akawaambia wao ni yanga na wanafurahia simba kufungwa wakakana na kusema wao hawako upande wowote lkn nikawanajiuliza hata kama hawako timu yoyote iweje wakose moyo wa UTAIFA na kuiponda Simba kias kile huku wakiongozwa na furaha na vicheko na maneno ya kejeli.Nilishangazwa sana kitendo kile ukizingatia Clouds fm ni redio station kubwa tu nchini.ALL IN ALL WE SAY CONGRATULATION 2 SIMBA!!
 
Wachambuzu uchwara! Hawana tofauti na wale walionunua jezi za ESS wakati wa mechi ya awali Dar
 
Ada ya mja hunena kwa muungwana ni vitenda. Ndiyo hata JK aliwaambia katika utoaji wa tuzo mapenzi ya timu zao wasiyaonyeshe ktk redio au gazeti ambayo hayafumbamani na chama. Sasa neno kama SIMBA ni kama chupa ya chai ipoingia ndipo itakapotokea. SIMBA imewakilisha Taifa na si klabu nadhani ni wachambuzi wanakula ugoro kabla ya kipindi.
 
eti simba kama chupa ya chai.. ilikoingilia ndio inakotokea huyu mtu mbwiga ana mdomo mchafu sana.. shenz kbs
hivi ukiipenda Simba, wakati huo huo Yanga, Azam, Polisi sasa utaenda uwanjani kufanya nini ? Kumbuka jamaa walimtuma mtangazaji Jeff ili kufanya coverage ya hiyo mechi !
 
Back
Top Bottom