Jana nilikuwa nafuatilia kipindi cha michezo cha clouds FM ambao walikuwa wanatoa updates za mechi ya Simba na ENTENTE!
Nilisikitishwa na namna watangazaji walivyokuwa wanashangilia Simba ilivyokuwa inafungwa.Nikajiuliza hivi inakuwaje Redio inayotangazia umma inakuwa na watngazaji wa aina ile !Hatuwawazii kuichukia Simba simba laini kama public entity wanatakiwa kuwa fare! Kilinichonishangaza na kuhoji ufahamu wao kuhusu mashidano hayo ni kutokuwa na habari kuwa simba ilikuwa nafasi kubwa ya kufunga bao moja na kusonga mbele na ndicho kilichotokea ....!ACHENI UJINGA WA KUTUKANA NA BAADAYE MANAIBIKA ......pUMBAVU SNA MNAKUWA KAMA HAMWAJUI SIMBA BANA
Nilisikitishwa na namna watangazaji walivyokuwa wanashangilia Simba ilivyokuwa inafungwa.Nikajiuliza hivi inakuwaje Redio inayotangazia umma inakuwa na watngazaji wa aina ile !Hatuwawazii kuichukia Simba simba laini kama public entity wanatakiwa kuwa fare! Kilinichonishangaza na kuhoji ufahamu wao kuhusu mashidano hayo ni kutokuwa na habari kuwa simba ilikuwa nafasi kubwa ya kufunga bao moja na kusonga mbele na ndicho kilichotokea ....!ACHENI UJINGA WA KUTUKANA NA BAADAYE MANAIBIKA ......pUMBAVU SNA MNAKUWA KAMA HAMWAJUI SIMBA BANA