Uhuni huu wa clouds fm!

Uhuni huu wa clouds fm!

Lakini kumbukeni mtangazaji wa zamani wa tbc ambaye sasa ni mbunge alivyofanya ushabi wake wa simba akitangaza mechi ya yanga na alhlah ya sudani
 
Ki kwao ni kichwa tupu o isiyo na akili xo jamani jamaa hana kosa wala nini ni majukumu ya jina lake,bro mbwigaa big up
 
Mara baada ya mechi niliandika katika wall ytangu fb na nilishangazwa sana na kitendo kile bila ya majibu. Mmoja kati ya watangazaji akawaambia wenzake pamoja na wasikilizaji wote kwamba kwa dakika kama nne zilizokuwa zimebaki aaliamua kututangazia simba ilivyokuwa ikitolewa nba akawa anaponda sana. Kuna msikilizaji mmoja akatuma ujumbe na kuwaambia waache ushabiki na wtupe taarifa tu za mechi hiyo. Cha ajabu ni kwamba alijibu kuwa yeye na wenzake hawana timu na walikuwa wakitupa tu taarifa. Furaha waliyokuwa nayo ilikuwa ni mithili ya ndoto ya ndoa inapotimia. Hata mtoto mdogo asingeweza kukubaliana na jibu lake. Mungu si Athumani dakika ya 91 nadhani jamaa alipata kile kijasho chembamba
 
Na hili ni tatizo linalowakabili wanahabari wengi sana humu nchini. Wapashapo habari wamekuwa wakiegemea sana kwenye mitizamo yao aidha kama ni ya kisiasa, kidini au kama ni mpira unaona kabisa hisia zao zikijionyesha dhahiri u-klabu wao.
Hili ni tatizo. Angalia magazeti mengi yanavyoripoti habari, vituo vya redio vinaporipoti utaona kabisa wanahabari wanavyotanguliza ushabiki wao mbele ya umma.
 
Mkuu sidhani kama uko sahihi kuhusu hilo,jamaa walikuwa wanachambua tu kawaida,labda ushabiki umekuzidia,ikumbukwe pia kwa simba kusonga mbele wao wanafaidika kwa kampuni yao kusimamia michezo ya simba hapa dare salaam,hivyo hawawezi fanya hivyo period!

jamaa wapuuzi usiwatetee
 
Ada ya mja hunena kwa muungwana ni vitenda. Ndiyo hata JK aliwaambia katika utoaji wa tuzo mapenzi ya timu zao wasiyaonyeshe ktk redio au gazeti ambayo hayafumbamani na chama. Sasa neno kama SIMBA ni kama chupa ya chai ipoingia ndipo itakapotokea. SIMBA imewakilisha Taifa na si klabu nadhani ni wachambuzi wanakula ugoro kabla ya kipindi.

I used to listen sports xtra, bt that day i was very much ashamed by the so called "wachambuzi"
 
Kama Kitu ujui uliza ndio maana skonga ulitoka kapa! Mbwiga ni rafiki kwa lugha ya kizaramo...tathimini b4 kuropoka!!!!!
 
Kama kitu hujui uliza ndio maana skonga ulitoka Kapa!! Mbwiga ni rafiki kwa lugha Kizaramo.Chambua kitu B4 kuropoka!!!!!!!!
 
Kweli bana nimefatilia mbwiga ni rafiki kwa kizaramo, TENA NI RAFIKI WA YANGA.

Kama kitu hujui uliza ndio maana skonga ulitoka Kapa!! Mbwiga ni rafiki kwa lugha Kizaramo.Chambua kitu B4 kuropoka!!!!!!!!
 
Kweli clouds ni janga, ni redio ya kihuni huni hivi, ndio maana mchambuzi makini hapa tanzania Eddo Kumwembe aliachana nao akaenda zake mwananchi communication, mcheki kwenye mwanasport ya jumamosi, yule bwana ni genius kwenye issue za uchambuzi wa soccer.

Clouds Radio ni janga kwa vijana wa kitanzania
 
hivi ukiipenda Simba, wakati huo huo Yanga, Azam, Polisi sasa utaenda uwanjani kufanya nini ? Kumbuka jamaa walimtuma mtangazaji Jeff ili kufanya coverage ya hiyo mechi !
Tatizo so clauds ni hawa wanaoijiita wachambuz wa michezo hawatumii akili kaz yao ni kufagilia soka la wazungu na kutukana ndugu zao sio siri jamaa walionyesha ushabiki kazini mpaka wanaanza kutukana na mavaz[suti] walizokwenda wamevaa kuwa watarud wamevaa vpensi,halafu huyo jamaa sijui mbwiga mlileta wa nn sion anachotuongezea kwenye michezo hayo maneno anayosema ni ya kitoto watu wazima hatuyahitaji,watangazaji wa nchi zingine timu zao zikifungwa huwa wanasikitika lkn yakwetu sijui ni ushamba na ulimbuken shenz gete!
 
Back
Top Bottom