Uhujumu Miundombinu: Vifaa vya ujenzi daraja la Busisi vyaibwa, watu 8 mbaroni

dubu

JF-Expert Member
Oct 18, 2011
3,496
3,461
Vifaa vyenye thamani ya bilioni 16 vya kujenga daraja la Busisi vimeibwa eneo la Kigongo Busisi Mwanza

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu 8 kwa tuhuma za wizi wa vifaa vya ujenzi wa daraja la JPM linalojengwa kwa fedha za serikali, zaidi ya bilioni 600 katika eneo la Kigongo-Busisi mkoani Mwanza huku wanaohujumu miundombinu hiyo wakipewa onyo kali.

Hata hivyo wezi hao wamekamatwa maeneo ya Sengerema, Ushirombo na Kigoma


Nawasalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 
Yule askari wa mwanza nani yule aliedhibiti wizi arejeshweeee
Mama anadhani wizi unakomeshwa nanaskari mmoja tu. Hapo wa kumkemea ni IGP kwa nini wizi inaongezeka au abadilishwe? Sio kuanza kutafuta askari gani sijui arudishwe then huko alikopelekwa alinde nani? IGP hili ni tusi kwake kwamba ameshindwa kudhibiti uhalifu. Mbadilishe maana amezoea kutoa mimacho tu nae kama le profeseli majalala.
 
Najua ipo siku moja mtanikumbuka kwa mema yangu na sio kwa mabaya.(R.I.P JPM)
Wezi na majangili wa lasrimali za Taifa hili wameshaanza kurudi kwa kasi.
Mnafanya upuuzi wenu ili mumkomoe raisi wetu kipenzi...hamna nafasi na hakuna mtanzania atayemkukuka sahau hilo...tupo kwenye furaha iliekosekana kwa miaka
 
Watu wanataka kutuaminisha kua kipindi cha jiwe hakukua na wizi ila baadabya kufariki ndo wizi umeibuka. Wizi ulkuwepo sana labda hofu ya kutangaza ilkua kubwa.
 
Nilijua tu make site ni kwa chuma ndo aliweza kulala hadi kwenye madaraja ...wizi kila kona sahvi na ndo kwanza miezi 2 bado. Ungozi siyo lelemama na wasione vyaelea jamani wapo waliokuwa tayari kufa kwa ajiri ya nchi ila sasa walaji wamekaribishwa tena
Imetoka hiyo tatorudi na hahitajiki mnajisumbua tu..
 
Najua ipo siku moja mtanikumbuka kwa mema yangu na sio kwa mabaya.(R.I.P JPM)
Wezi na majangili wa lasrimali za Taifa hili wameshaanza kurudi kwa kasi.
Unataka kutuaminisha huo wizi mkubwa hivyo umefanyika ndani ya mwezi mmoja unusu?
Kwenye miradi yote inayoendelea wizi upo kitambo tu haujakoma...
Tunahitaji sheria kali zaidi ili kulinda miundo mbinu sio makelele na kushangiliwa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom