Uholanzi Yaipa Ukraine Ndege Chapa F-16 Kama Kisasi Cha Kulipiza Ndege Yake Ya Abiria Kulipuliwa Na Mawakala Wa Putin Na Kuua Abiria 196

Jackal

JF-Expert Member
Apr 10, 2012
9,560
12,686
Ndege hiyo Chapa MH 17 iliydunguliwa na Mawakala Wa Putin miaka 9 iliyopita na Kuua abiria wa Uholanzi 196.Uholanzi Kulipiza kisasi imeipatia Ukraine Ndege za kivita Chapa F-16,ili kusaidia kupambana na vikosi vya Urusi ,vilivyovamia Ukraine.🤔
...
 
20230825_232647.jpg
 
Umeshindwa kabisa kuunganisha "gestures" za picha ya Ramaphosa na taarifa ya uzi na akili za mtoa uzi!?? ..... Jibu lipo kwenye hiyo picha....
Ni kwamba wadachi hawajatoa hizo ndege?
Weka uzi wako ambao unakanusha badala ya kubisha bila facts.Mimi nimeweka na source ya habari🤔
 
Ndege hiyo Chapa MH 17 iliydunguliwa na Mawakala Wa Putin miaka 9 iliyopita na Kuua abiria wa Uholanzi 196.Uholanzi Kulipiza kisasi imeipatia Ukraine Ndege za kivita Chapa F-16,ili kusaidia kupambana na vikosi vya Urusi ,vilivyovamia Ukraine.
...
Staftah njema bandugu
JamiiForums-661793165.jpg
 
Kutoa ndege sio tatizo hata kidogo hata poland alikubali kutoa ndege kwenda ukraine hila tatizo likaja zinaingia ukraine kutoka kwenye nchi gani?ikitokea poland kuingia ukraine ataonekana yy poland ndio kaingia na ndege kushambulia majeshi ya urusi kitawaka,akamwambia usa nikuletee ndege huko kwenye camp yako germany halafu uzipeleke ww ukraine nae usa amekataa ndege zimekosa wa kuzipeleka.
 
Kutoa ndege sio tatizo hata kidogo hata poland alikubali kutoa ndege kwenda ukraine hila tatizo likaja zinaingia ukraine kutoka kwenye nchi gani?ikitokea poland kuingia ukraine ataonekana yy poland ndio kaingia na ndege kushambulia majeshi ya urusi kitawaka,akamwambia usa nikuletee ndege huko kwenye camp yako germany halafu uzipeleke ww ukraine nae usa amekataa ndege zimekosa wa kuzipeleka.

Ustadhi kama ustadhi....na mtahema sana.
 
𝗵𝗮𝗶𝘁𝗼𝗽𝗶𝘁𝗮 𝗮𝗻𝗴𝗮 𝗹𝗮 𝘂𝗿𝘂𝘀𝗶
 
Ndege hiyo Chapa MH 17 iliydunguliwa na Mawakala Wa Putin miaka 9 iliyopita na Kuua abiria wa Uholanzi 196.Uholanzi Kulipiza kisasi imeipatia Ukraine Ndege za kivita Chapa F-16,ili kusaidia kupambana na vikosi vya Urusi ,vilivyovamia Ukraine.🤔
...
Duh Uholanzi haina airline yenye ndege chapa MH 17 ndugu, do your homework. MH ni ndege za Malaysian Airlines
Uholanzi wa KLM, ndege zao husajiliwa kama KL
 
Ndege hiyo Chapa MH 17 iliydunguliwa na Mawakala Wa Putin miaka 9 iliyopita na Kuua abiria wa Uholanzi 196.Uholanzi Kulipiza kisasi imeipatia Ukraine Ndege za kivita Chapa F-16,ili kusaidia kupambana na vikosi vya Urusi ,vilivyovamia Ukraine.🤔
...
Hivi hii vita kati ya Urusi na Ukraine bado ipogo?!

Akina Biden na "Makaron" wake kelele kwisha kabisa....Urusi mfupa mgumu, ukijifanya kuuvunja utaishia tu kuulamba na kuuacha kisha kuondoka kimya kimya 😎
 
Back
Top Bottom