Hata hapa JF unawza kuuza tupe bei zakoNanunua vijijini nahitaji mahali pa kuuza hapo Morogoro mjini mkuu.
Mkuu ulipata pakuuzia? Namimi nahitaji kujua soko zuri la mahindiNanunua vijijini nahitaji mahali pa kuuza hapo Morogoro mjini mkuu.
Debe unauzaje broo! Nipe bei tufanye biashara au nicheki 0712555352Poleni na majukumu ya kila siku wakuu.
Shida yangu ni kujua wapi wananunua mahindi na maharage kwa wingi mkoani Morogoro.
Natanguliza shukrani kwa mtoa taarifa.