Nipo Dar, wapi nitapata mbegu za mizabibu? Nataka kupanda nyumbani kwangu as a garden. Kama naweza kupata kwako naomba unitafute. 0658103810.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Zabibu sio kama mchicha kila mazingira zinaota.Nipo Dar, wapi nitapata mbegu za mizabibu? Nataka kupanda nyumbani kwangu as a garden. Kama naweza kupata kwako naomba unitafute. 0658103810.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo inabidi uwatafute wataalam wa kilimo wakuelekeze aina ya udongo zabibu inapokubali pia na hali ya hewa e.g joto,Mvua .Ardhi yangu ina mchanga..napenda tu kuipanda kwa ajili ya garden home.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo inabidi uwatafute wataalam wa kilimo wakuelekeze aina ya udongo zabibu inapokubali pia na hali ya hewa e.g joto,Mvua .
Ndio zikoje hizo
Acha uongo. Zinaota
Mkuu vipi kwa Mbeya,Iringa na Songea zabibu huwa inakubari?View attachment 582622
Hapo ni matumbulu Dom. Hiyo zabibu haijawahi kumwagiliwa zaidi ya mvua. Zabibu inachagua Sana udongo. Itaota ila haitazaa vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina uhakika Mkuu. Ila ukitaka kulima kibiashara ni vizuri ufanyie Dom maana.hapa hapa Dom kuna zabibu ambazo hazipendelewi Sana kutokana na maeneo inapolimwa. Ukipata muda ukiwa Dom no vizuri utembelee kwa Pinda ana ekari kumi Zach Aina tofauti tofauti Za zabibuMkuu vipi kwa Mbeya,Iringa na Songea zabibu huwa inakubari?
-Ndumilakuwili-
Sina uhakika Mkuu. Ila ukitaka kulima kibiashara ni vizuri ufanyie Dom maana.hapa hapa Dom kuna zabibu ambazo hazipendelewi Sana kutokana na maeneo inapolimwa. Ukipata muda ukiwa Dom no vizuri utembelee kwa Pinda ana ekari kumi Zach Aina tofauti tofauti Za zabibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ardhi yangu ina mchanga..napenda tu kuipanda kwa ajili ya garden home.
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE
nnazo mkuu
Mbeya labda mbarali na ileje...Mkuu vipi kwa Mbeya,Iringa na Songea zabibu huwa inakubari?
-Ndumilakuwili-
Mbeya labda mbarali na ileje...
Formula ya zabibu ni inahitaji jua sana kuliko maji,kwahiyo maeneo yenye mvua si rafiki wa zabibu
Chunyw pia nahisi zimaweza kukubali sana.Mbeya labda mbarali na ileje...
Formula ya zabibu ni inahitaji jua sana kuliko maji,kwahiyo maeneo yenye mvua si rafiki wa zabibu