Uhitaji wa Mbegu za Mzabibu

Hapo inabidi uwatafute wataalam wa kilimo wakuelekeze aina ya udongo zabibu inapokubali pia na hali ya hewa e.g joto,Mvua .
IMG_20170906_144545_736.jpg

Hapo ni matumbulu Dom. Hiyo zabibu haijawahi kumwagiliwa zaidi ya mvua. Zabibu inachagua Sana udongo. Itaota ila haitazaa vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa anahitaji kupanda zabibu kama maua siyo zabibu itoe matunda

Anataka urembo tu

Kama urembo utafanikiwa lakin si kupata matunda
 
Back
Top Bottom