Uhindini

KAKA A TAIFA

JF-Expert Member
Apr 27, 2011
566
80
Hapa ni kijijini pakistani.hawa jamaa wakija hapa wanajifanya dharau /babukubwa kumbe kwao kama kwa kambi ya fisi tu
 

Attachments

  • UHINDINI.jpg
    27.8 KB · Views: 264
Hao wakaaji kwenye hiyo nyumba miaka mitano ijayo watajikuta kwenye maji.

Upande wa pili wa sarafu.
 
Hapa ni kijijini pakistani.hawa jamaa wakija hapa wanajifanya dharau /babukubwa kumbe kwao kama kwa kambi ya fisi tu

Hiyo ni kawaida, tazama hata hapa kwetu wenye dharau utakuta wametoka kwenye mazingira tatanishi kama hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…