Usikariri,unajua watoto wa Nyerere walisoma wapi?Watoto wa Matajiri walisoma Shaban Robert
Kama Mbowe na Ndugai walisoma pamoja basi wote walikuwa mafukara
Tutajie hizo hotel basi!
Angekuwa mweupe asingefaulu darasa la saba,miaka hiyo kufaulu la saba ni kazi kwelikweli,shule nzIma walifaulu wawilu tu Freeman na mwenzake mmoja pia kumbuka kibaha Sec ni special school .ni wale waliopata ufaulu wa juuSijaelewa! Ndugai katoka familia fukara ila kichwani zimo. Ina maana huyo mwingine katoka familia tajiri ila kichwani ni mweupe?
Hao wote walikuwa Maskini tuUsikariri,unajua watoto wa Nyerere walisoma wapi?
JK Kikwete mtoto wa DC alisoma Kibaha sijui Tanga
Protea Hotel.Aishi,Mbowe club(bilicanas)
Sasa mbowe alikuwa masikini wakati huo,lakini wewe ni masikini mpaka Sasa dalili ya masikini yeyote ni chuki na roho mbaya.Hao wote walikuwa Maskini tu
Mbowe Hotel au Billicanas ilikuwa Nyumba ya NHC kama yalivyo Makao makuu ya Chadema
Sasa Ndio Tajiri huyo?
Kwenye umbeya tu…. Tumo sanaHawa miamba walijuana Kibaha Secondary.
Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini,alikuwa na mahotel Dar,Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK Nyerere.
Job Ndugai alitokea familia fukara kama watanzania wengi ila kichwani zilikwemo.
Kuna siku Job aliomba kitabu kwa Freeman akanyimwa ndio uhasama ukaanzia hapo,hicho kitabu alikuwa nacho Freeman peke yake shule nzima.
Nyerere alikuwa anaishi Maisha ya kawaida sanaSo Nyerere alikuwa masikini?
Protea hotel unazijua,Aishi je?
Kwani sasa huyo Mbowe ni Tajiri?Sasa mbowe alikuwa masikini wakati huo,lakini wewe ni masikini mpaka Sasa dalili ya masikini yeyote ni chuki na roho mbaya.
Ww ni mtu wa ajabu sana,Rudi kwenye mada,Nyerere alikuwa na uwezo wa kupeleka watoto wake wakasomee ulaya au America achana na Shaaban Robert School.Nyerere alikuwa anaishi Maisha ya kawaida sana
Makongoro Nyerere aliishi Nyumba ya NHC kama hiyo ya Chadema pale Komakoma Mwananyamala Jirani na alipokuwa anakaa Masoud Kipanya
Mdogo wake mzee Joseph Nyerere aliishi Nyumba ya NHC Jirani na Hospital ya Mwananyamala
Sasa ni Matajiri hao?
Mzee Mbowe hakuwa Tajiri usidanganye Watu!