Uharifu mkubwa kuwahi kufanyika Tanzania wahusika imeshindikana kuwakamata

Hivi nyie CHADEMA Kila siku ni huu huu tu utumbo? Mliachwa mtaandamana kwanini hamkuitumia hiyo fursa?

Kila kitu kimepanda bei lakini hamsemi kitu, mmekalia Umbea na majungu tu!! Ndo maana Watanzania wamewapuuzilia mbali.

Mwenzenu Mwenezi Makonda anachanja tu mbuga nyie mmekalisha Makalio tu mnasubiri Ruzuku!! Badilikeni nyie Wahuni; awali mlikuwa ndo taa ya mambo mengi muhimu. Mmelamba asali Sasa hivi Kuna mambo mnayaonean aibu kuyasema.

Shwain
Wewe huwezi kusema kuwa vitu vimepanda bei mpaka Chadema wakusemee huna mdomo?
 
..inaction ya miaka 6 tangu tukio la Lissu litokee na Polisi wameziba macho na masikio.
Nakuelewa Mkuu. Its frustrating.

Lissu anayo makabrasha, labda anasubiri kuwa Raisi, labda, ndio awakamate wahusika na kuwapeleka mahakamani au awanyonge tu. Tutajua tu.

Lakini ukweli utabakia kuwa ukweli, kwamba, huo sio Uhalifu mkubwa kutokea Tanzania. Naomba nieleweke.

Yaliyomtokea TL siwezi kumwombea mtu yeyote yamtokee. Lakini hizi propaganda za kuichafua Serikali nayo ina madhara yake. Kwanini tunagonganisha vichwa Wananchi na Majeshi ya Usalama. What good is going to come out of it?

...let me have my Dinner.
 
Hivi Dr. Ulimboka aliyetekwa akashughulikiwa sawa sawa kisha akatupwa katika msitu wa Mabwepande enzi za JK aliishia wapi? Hajawahi kusikika tena yule mwamba!
 
Nchi yo yote na watu ambao hawajali uhai wa mtu mwingine ila uhai wao ni nchi yenye utawala feki au wengine huita "Banana states" au "Failed states". Nchi nyingine huwagomea watu hao hata kukanyaga nchini mwao.Ndiyo maana wastaarabu huwaombea hao wauaji karma au Mwenyezi Mungu awaadhibu. Na kweli Mwenyezi Mungu husikia. Usikejeli mambo ya msingi ambayo binadamu mwenzio anahoji. Yasipokukuta wewe basi ndugu yako yatamkuta. Nafsi ya mtu ni mali ya Mungu, binadamu usijipe u Mungu!
 
Wahusika walionywa wakashupaza shingo,

Usiwe na haki kuzidi dola utaumia,

Nasikia Lisu alionywa kabisa lakini badala ya kuonyeka akaanza kutafuta onyo linatoka wapi akaoga mvua ya shaba" de levis aliandika mahali humu jamvini!!

Ben aligusa nyeti kabisa,japo alikua na haki ya kuhoji ila mhojiwa hakuwa na subira ya kuhojiwa !!
Ben angepona kama angeamua kumwelewa hayati na hulka yake,naamini Kuna wengi Sana walikua na mengi kumhusu hayati lakini waliamua kukaa kimya coz ilikua ni busara!!

Modewji ni matured kabisa kuelewa kwanini ilimtokea,Ile no mbinu ya kimedani ya kumuondolea kiongozi uhalali was kuwa kiongozi ili achukiwe na watu na propaganda za media kibao ili akienda hata kama isivyo haki watu washangilie wasichokijua!!

NB

Sio kila jambo aliliratibu Hayati mengine ni proactive ya mfumo ili ku damage reputation yake fulani!!!

Mawazo huru ya mlipa kodi!!
Very true! Mkuu,
Nakumbuka Nilikuwa mfuasi wa Ben Saanane Facebook, Alikuwa akitumiwa msg mara kadhaa na watu wa kitengo... Yeye alishupaza shingo,

Akawa anatuonyesha sisi... Badala ya kufanyia kazi anayoambiwa na kuchukua tahadhari!

Nakumbuka mpaka msg ya MWISHO aliyotumiwa "Ben utajikuta uko peke yako katikati ya tundu la simba!"

Yeye akaendelea kutupostia sisi! Kama anavyofanya Wakili peter madereka kule X... Naye siku yake yaja!
 
Katika Historia ya TANZANIA Kuna huu UHALIFU MKUBWA umetokea lakini mpaka Leo JESHI la POLISI limeshindwa KUWAKAMATA WAHUSIKA. Uhalifu huo ni:

1. Kutekwa kwa Mfanyabiashara MO DEWJI

2. Kupigwa RISASI Mchana kweupe TUNDU LISSU mjini DODOMA

3. Kutekwa na Kupotea kwa BEN SAANANE,azory Gwanda na wengine.

MATUKIO HAYA mpaka leo WAHUSIKA wake HAWAJAKAMATWA.
Hayakuwa matukio ya kihalifu, kumshughulikia mhalifu siyo uhalifu.
 
Very true! Mkuu,
Nakumbuka Nilikuwa mfuasi wa Ben Saanane Facebook, Alikuwa akitumiwa msg mara kadhaa na watu wa kitengo... Yeye alishupaza shingo,

Akawa anatuonyesha sisi... Badala ya kufanyia kazi anayoambiwa na kuchukua tahadhari!

Nakumbuka mpaka msg ya MWISHO aliyotumiwa "Ben utajikuta uko peke yako katikati ya tundu la simba!"

Yeye akaendelea kutupostia sisi! Kama anavyofanya Wakili peter madereka kule X... Naye siku yake yaja!
Mkuu

Sisi humu ni wanachama kabisa was vyama hivi na tunakosoa kwa staha Dana walau,coz twajua wale jamaa wakikutaka wanakupata kabisa!!

Maana huwezi chomoa mbinu zao za kimedani!!tuishi nao kwa akili,ishu ya elimu za wakubwa ni tatizo la mfumo was elimu ulivyo mbovu,ukifika bei nzuri hata uprofesa unaupata,SI unaona hata mama Kawa dokta juzi hapo!!?yaani mchongo tu na kujipendekeza Kwa wakubwa!!
 
Tatizo lipo mbali mno na yote yaliyotokea,yanayoendelea msingi wake ni mfumo hapo ili kuelewa inahitaji kuandika kitabu kizima.

Kuhusu hawa manjagu si kila uhalifu wanamudu kupambana nao inategemea wahalifu wamejipangaje kilichofanyika Serikali iliamua kukidunisha Chombo hiki cha Dola hii Ni salaha kubwa Sana ya kudhohofisha jitihada za kupambana na uhalifu. Mfano Polisi wanaunyonge kuanzia kwenye vitendea kazi mpaka maslahi Yao binafsi.

Tatizo lilipoanzia ni pale wakoloni walipo weka vigezo vya kumpata Polisi Kwa kuangalia urefu na Sifa nyingine zisizo na tija Kwa maslahi ya wakoloni.

Sasa Jeshi likarithi itikadi za kikoloni ambazo mlengo wake ni kulinda tabaka tawala Kwa namna yoyote.

Nini kifanyike? utafiti ufanyike tupate muafaka namna ya kuwapata waajiliwa wa sector zote ikiwezekana tuangalie nchi zinazofanya vizuri Katika eneo Hilo la ulinzi wa raia na Mali zao pamoja na taasisi zote NYETI. Mfano China Polisi wanasoma miaka minne kipindi hicho kinatosha kufanya UHAKIKI au vetting na siyo lazima wanaochaguliwa wote wapewe kazi. Kinyume na hayo tutaendelea kuwa na watu wa Aina hii inayochosha kwasasa HAKUNA taasisi inayoweza kupambana na wahalifu waliojipanga mfano mdogo ni wahamiaji haramu wamengia nchini na kupora nafasi pamoja na Mali za wazawa kesi wanashinda kukuwa wanajipanga kimkakati wanaumoja na wamefanikiwa kupenyeza watu WAO kwenye taasisi nyeti kimkakati.

Mwisho wa Haya Yote IPO SIKU Bomu litaripuka Vita itahusika kizazi kipya kitajitambua na kutaka kurudisha rasilmali zao.

Utawala uliopita ulikuwa unaelekea kwenye kututoa kwenye mkwamo japo kuwa sindano ilikuwa chungu lakini HAKUNA namna nyepesi ya kututoa kwenye jinamizi hili ambalo limejificha kwenye Koti la haki za binadamu.
 
Mkuu

Sisi humu ni wanachama kabisa was vyama hivi na tunakosoa kwa staha Dana walau,coz twajua wale jamaa wakikutaka wanakupata kabisa!!

Maana huwezi chomoa mbinu zao za kimedani!!tuishi nao kwa akili,ishu ya elimu za wakubwa ni tatizo la mfumo was elimu ulivyo mbovu,ukifika bei nzuri hata uprofesa unaupata,SI unaona hata mama Kawa dokta juzi hapo!!?yaani mchongo tu na kujipendekeza Kwa wakubwa!!
Tuwe na staha, tuweke akina ya Maneno,

PhD feki. Iliondoka na uhai Real!(halisia!)
Na leo imebaki historia ya Ben Rabiu Wa Saanane!
 
Ni kipi hicho nilicho kibuni? weka ushahidi au ukale mtori(nitakunywa uji wangu ukitoa ushahidi). (Muted)

Jibu swali nililouliza mkuu, zaidi ya hapo naona hatutaweza kuelewana. na Kwahili. I beg to differ

Maandamano yepi tena hayo? Una maana hizi 'tunataka majibu sasahivi'? Mbowe anaenda ikulu kila siku na anakutana na mamlaka makubwa kabisa nchini. Huwa anauliza nini? Kwanini msimuulize Mbowe ameuliza nini au ana majibu gani kama ameshawahi kuuliza. Tundu Lissu alivyorudi tu akadai anatembea na Kabarasha na ana taarifa za Wahusika wengi tu na Uhalifu unaoendelea Nchini, Kwanini asiyaanike wananchi tiamue?

Nimekujibu huko Juu. Na wewe kaongezee chumvi mtori wako...


0-1
Huna unachokijua kwa sababu umejiamulia kung'ang'ana na ujinga.Kaa hivyohivyo!
 
Katika Historia ya TANZANIA Kuna huu UHALIFU MKUBWA umetokea lakini mpaka Leo JESHI la POLISI limeshindwa KUWAKAMATA WAHUSIKA. Uhalifu huo ni:

1. Kutekwa kwa Mfanyabiashara MO DEWJI

2. Kupigwa RISASI Mchana kweupe TUNDU LISSU mjini DODOMA

3. Kutekwa na Kupotea kwa BEN SAANANE,azory Gwanda na wengine.

MATUKIO HAYA mpaka leo WAHUSIKA wake HAWAJAKAMATWA.
Ngoja mwenezi aje afafanue
 
Back
Top Bottom