voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,553
- 11,885
Serikali inaogopa unganiko la watanzania kupitia mitandao ya kijamii!
Serikali haipendezwi na ukosoaji mkubwa inaoupata kupitia Mitandao ya kijamii!
Je, "Internet"nayo inaagizwa kutoka Ukraine?
Iweje Serikali kukaa Kimya huku kampuni za simu zikituibia mchana kweupe?
Bundle ina Expire huku zikiwa bado MB's na GB's zikiwa zinasoma kwenye salio!
Je! Hizo huwa zinapelekwa wapi?
Kwanini mteja asiunganishiwe salio lake la Internet kwenye Bundle lake jipya?
Lakini pia kuna sababu gani kuweka ukomo wa Bundle wakati,tayari limekwisha lipiwa na mteja husika?
Kwa nini serikali kupitia "TCRA"haiwajibiki ipasavyo kwa kutuwekea
"Internet Bundle Usage reading Meters"
kama kigezo cha lazima kwenye matumizi ya Internet sambamba na ilivyo kwenye muda wa Maongezi.
Kwa nini tupewe taarifa ya matumizi ya dakika na sekunde,kwenye maongezi ya simu,na hatupewi taarifa kama hizo,kwenye matumizi ya Internet?
Wakati kampuni na system inayomiliki vyote hivyo ni hiyohiyo?
Kwa kitendo cha Nape kukaa kimya!
Huenda na yeye ana maslahi binafsi kutoka kwenye hayo mapunjo tunayopunjwa.
Na huenda amewekwa kwenye "Paylist"zao
Kwa kitendo cha serikali ya CCM kukaa kimya juu ya hili.
Ina maanisha kuwa ni njia ya kupunguza nguvu ya ukosoaji toka kwa jamii,kupitia Mitandao ya kijamii.
Jumapili Njema.
Alamsikhi!
Serikali haipendezwi na ukosoaji mkubwa inaoupata kupitia Mitandao ya kijamii!
Je, "Internet"nayo inaagizwa kutoka Ukraine?
Iweje Serikali kukaa Kimya huku kampuni za simu zikituibia mchana kweupe?
Bundle ina Expire huku zikiwa bado MB's na GB's zikiwa zinasoma kwenye salio!
Je! Hizo huwa zinapelekwa wapi?
Kwanini mteja asiunganishiwe salio lake la Internet kwenye Bundle lake jipya?
Lakini pia kuna sababu gani kuweka ukomo wa Bundle wakati,tayari limekwisha lipiwa na mteja husika?
Kwa nini serikali kupitia "TCRA"haiwajibiki ipasavyo kwa kutuwekea
"Internet Bundle Usage reading Meters"
kama kigezo cha lazima kwenye matumizi ya Internet sambamba na ilivyo kwenye muda wa Maongezi.
Kwa nini tupewe taarifa ya matumizi ya dakika na sekunde,kwenye maongezi ya simu,na hatupewi taarifa kama hizo,kwenye matumizi ya Internet?
Wakati kampuni na system inayomiliki vyote hivyo ni hiyohiyo?
Kwa kitendo cha Nape kukaa kimya!
Huenda na yeye ana maslahi binafsi kutoka kwenye hayo mapunjo tunayopunjwa.
Na huenda amewekwa kwenye "Paylist"zao
Kwa kitendo cha serikali ya CCM kukaa kimya juu ya hili.
Ina maanisha kuwa ni njia ya kupunguza nguvu ya ukosoaji toka kwa jamii,kupitia Mitandao ya kijamii.
Jumapili Njema.
Alamsikhi!