Uhamisho wa watumishi wa Serikali

Uhamisho wa watumishi wa Serikali

Mimi sion sababu yAkuwa na presha mie pia niko kwa mchakato ila sina habari hata yakija march
 
Wat wengne wanavunga tu na nadhan ukisema huna presha bas we ukapimwe
 
Wat wengne wanavunga tu na nadhan ukisema huna presha bas we ukapimwe
Mkuu jua kuna watu wa personalities tofauti humu, na tunapokea mambo na kufanya vitu kulingana na aina ya sisi ni akina nani, binadamu kamwe hatuko sana, ndio maana kuna waoga na majasiri, wepesi na wazito katika mambo, maamuzi nk.

Kuna watu hata kuhama tu ndg jamaa, marafiki, ofisi yote inajua hata kabla hajapata uhamisho, sisi wengine hata kazini hakuna anaejua labda alie saini izo fomu.

So tupo tofauti, kubali kuna watu wala hata hatuwazi, na hata mchongo usipotoka it wont bother that much, najua kuna watu humu ikibuma kwa kimuhe muhe hiki hata ufanisi kazini utakufa. Mie siwalaumu ni personalities zenu lkn u can shape urself to look a certain kind of person.

Kwa uelewa zaidi wa nnachosema ebu pitia tena tabia za magroup ya watu katika saikoloji. Mf sanguine na wenzie wale watatu
 
Yaaap nmekupata,ila kama MTU amesoma psychology ya jinsi ya kujib mdahalo,htakiwi kujiinua pindi unaposolve tatizo,mi nnavojua n heri ujifeel kuwa tatzo la mwenzio n lako,mi sikatai kuwa watu tmetofautiana sana,ila kuna wengne kazi yao ndo hiyo ya kujisifu,nashukur kwa maoni yako,
 
Hahaaa kwanza ndo napata taarfa mda huu majina ya uhamisho yatatolewa mtandaoni ila tarehe 15 march
 
Back
Top Bottom