Uhamisho wa watumishi wa Serikali

Uhamisho wa watumishi wa Serikali

Na huwa inachukua mda gan barua za uhamisho kufika kwenye halmashaur unakotoka?
 
Samahan wapendwa,sikubahatika kupata uhamisho majina hayo yalio toka juzi,nimefuatilia wakasema watatoa tena sijui ni kweli jamani?
 
kuna watu wamenipigia cm wanasema wapo Tamisemi niwape hela wanisaidie kupata kibali cha Uhamisho,kweli kibali in mpaka hela au wanataka kunitapeli jamani? taratibu zinakuwaje kwa wanaojua fomu zikifika Tamisemi? NISAIDIENI
MAtapeli haoo
 
Back
Top Bottom