Uhamisho wa watumishi wa Serikali

Uhamisho wa watumishi wa Serikali

Hivi vitendo vya matusi waachieni WAHUNI sio nyie watu wenye heshima kubwa Duniani, mkiendelea hivi mtajipunguzia heshima na hata serikali kuwaona ni watu wasio stahili heshima na hata kutowajali katika mazingira yenu ya kazi na kuanza kulalamika mmetelekezwa na serikali kumbe heshima yenu mme ishusha wenyewe,
Walicholalamika ni umePost kitu ambacho hakiusiani na Maada...yaan Wrong Comment at a topic.....
Lazima tukushangae,kulikoni!!
 
kuna watu wamenipigia cm wanasema wapo Tamisemi niwape hela wanisaidie kupata kibali cha Uhamisho,kweli kibali in mpaka hela au wanataka kunitapeli jamani? taratibu zinakuwaje kwa wanaojua fomu zikifika Tamisemi? NISAIDIENI
mtoa rushwa na mpokea rushwa wote ni wahalifu. epuka kutoa pesa kupata huduma unayostahili, jizoeze kuwa mvumilivu na kufuata taratibu zilizowekwa kwa usahihi.
 
duuu mie nilikamilisha vibali vyote af jina halijatoka tatzo linaweza kuwa nn wakuu
Kaangalie kwenye majina ya ambao hawajafanikiwa usipolikuta nenda mkoani ukaulize labda hawakuipeleka tamisemi
 
Yamekubali hongera jina limetoka kutoka bukoba to meatu
Wakuu,naomba kuuliza mnaingiaje kuyaangalia? I mean naingia website gani au niSearch vipi ili nifanikiwe kuyaona..
Msaada pleeease.
 
Ameeeeeni,kiukweli siamini duuu,namshukur mungu sana jina nimelionaaaaaaa
 
Back
Top Bottom