Uhamisho wa watumishi 2013/2014

Ujuwe tamisemi mjuwe ndoa za wa2 zaharibika,au mlitaka walimu wa kike wasiolewe? Mi kila cku ni kero kutoka kwa mke wangu na process zote tayar na had sasa hakuna kinachoeleweka.
 
Kuna tetesi kwamba kufikia jan 20 majina yatatupiwa kwenye net subiri mkuu!
Habari za majukum wadau wa jf. Naomba kupata msaada kama kuna mtu ana taarifa za uhamisho wa watumishi waliomba kuhama desemba 2013 na kutakiwa kuhama january 2014 taarifa rasmi ya uhamisho wao inatoka lini maana tamisemi wapo kimyaa..
 
Mimi mwalimu mtafya wa sekondari iringa,natafuta mwalimu wa kubadirishana naye kituo cha kazi kutoka mbeya yeye aje iringa nami mbeya,wasilia nami 0753124642,0718802976
 
habari za majukum wadau wa jf. Naomba kupata msaada kama kuna mtu ana taarifa za uhamisho wa watumishi waliomba kuhama desemba 2013 na kutakiwa kuhama january 2014 taarifa rasmi ya uhamisho wao inatoka lini maana tamisemi wapo kimyaa..

wameshatoa ndugu yangu. Ingia tamisemi utaona.
 
wapendwa tusaidieni na sie wa tecno file halifunguki tuyaone hayo majina tafadhali
 
Back
Top Bottom