charrote
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 1,671
- 3,640
Wakuu habari za muda huu.
Nina kijana mtoto wa ndugu yangu yuko kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya Serikali (Kata), nahitaji kumuhamisha kwenda shule za vipaji maalumu za Serikali mfano Ilboru, Tabora boys, Kibaha boys nk.
Naomba kwa yeyote mwenye kufahamu utaratibu anisaidie. Kijana alikuwa na ufaulu wa daraja A.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina kijana mtoto wa ndugu yangu yuko kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya Serikali (Kata), nahitaji kumuhamisha kwenda shule za vipaji maalumu za Serikali mfano Ilboru, Tabora boys, Kibaha boys nk.
Naomba kwa yeyote mwenye kufahamu utaratibu anisaidie. Kijana alikuwa na ufaulu wa daraja A.
Sent using Jamii Forums mobile app