Na alifunga goli kwenye mechi yake ya kwanza ,timu yake ilitoa sare 1-1Wakuu anajua uhamisho wa eto'o wa kuhamia rashia na kupata mshahara mkubwa kuliko wachezaji wote dunia umefikia wapi atujuze maana niliisikia kwenye vyombo vya habari na sijui iliishia wapi
nawakilisha
Wakuu anajua uhamisho wa eto'o wa kuhamia rashia na kupata mshahara mkubwa kuliko wachezaji wote dunia umefikia wapi atujuze maana niliisikia kwenye vyombo vya habari na sijui iliishia wapi
nawakilisha