Kazi kweli...Msipohamishwa mnalalamika, mkihamishwa mnalalamika pia.Nchi ya malalamiko. Sasa watu wana sababu za msingi kwanini wasihame? Halafu nani kakwambia kila anayehamishwa analipwa mizigo?Sasa watu 3, 000 wote hao nani analipia kuhamisha mamizigo? hii serikali ya kihuni kabisa ndo maana kila siku inalalamika haina ela, bure kabisa/