Uhamisho ndani ya mkoa

Mchoropa

JF-Expert Member
Feb 10, 2014
402
304
Habari za majukumu ya kila siku wanajamvi, niende moja kwa moja kwenye point!

Nina mke wangu yupo wilaya tofauti na Mimi ninayofanyia KAZI lakini tupo ktk mkoa mmoja, tumeanza taratibu za uhamisho na jambo la kushukuru tumefika pazuri baada ya Afisa elimu na mkurugenzi wake kupitisha barua za uhamisho hapo nilikua kwa shida kidogo, barua tumeifikisha kwenye halmashauri anayohamia ambapo ndipo ninakofanyia KAZI Mimi na tumeambiwa tusubiri kupata kibali cha kukubaliwa kupokewa, Je baada kupata hicho kibari ni muda gani uhamisho unaweza kukamilika? Ahsante
 
Habari za majukumu ya kila siku wanajamvi, niende moja kwa moja kwenye point!

Nina mke wangu yupo wilaya tofauti na Mimi ninayofanyia KAZI lakini tupo ktk mkoa mmoja, tumeanza taratibu za uhamisho na jambo la kushukuru tumefika pazuri baada ya Afisa elimu na mkurugenzi wake kupitisha barua za uhamisho hapo nilikua kwa shida kidogo, barua tumeifikisha kwenye halmashauri anayohamia ambapo ndipo ninakofanyia KAZI Mimi na tumeambiwa tusubiri kupata kibali cha kukubaliwa kupokewa, Je baada kupata hicho kibari ni muda gani uhamisho unaweza kukamilika? Ahsante
Majina yanapelekwa tamisemi Linatoka mwezi wa saba ila barua utajibiwa soon na .kurugen ulikoamiau
 
Back
Top Bottom