Uhamisho kwa mtumishi wa umma

Uhamisho kwa mtumishi wa umma

Calmodulin

Member
Joined
Jun 1, 2025
Posts
11
Reaction score
13
Wakuu, naomba mnisaidie majibu ya maswali yafuatayo:

1. Naweza kuhama kumfuata mwenzi ambaye si mtumishi wala mfanyabiashara, yaani ni mama wa nyumbani?

2. Ikiwa na. 1 hapo juu inawezekana, ni viambata gani vinahitajika ktk mfumo wa ess kukamilisha hili?

Natanguliza shukrani.
 
Wakuu, naomba mnisaidie majibu ya maswali yafuatayo:

1. Naweza kuhama kumfuata mwenzi ambaye si mtumishi wala mfanyabiashara, yaani ni mama wa nyumbani?

2. Ikiwa na. 1 hapo juu inawezekana, ni viambata gani vinahitajika ktk mfumo wa ess kukamilisha hili?

Natanguliza shukrani.
kazi ipo
 
Wakuu, naomba mnisaidie majibu ya maswali yafuatayo:

1. Naweza kuhama kumfuata mwenzi ambaye si mtumishi wala mfanyabiashara, yaani ni mama wa nyumbani?

2. Ikiwa na. 1 hapo juu inawezekana, ni viambata gani vinahitajika ktk mfumo wa ess kukamilisha hili?

Natanguliza shukrani.
Hawa ndio wafanyakazi wa umma tunaotarajia watende Kwa ufanisi! Kwa nini huyo mama wa nyumbani asikufuate wewe? yaani unaanza anzaje kuomba uhamisho eti unamfuata mama wa nyumbani!
 
Wakati
Hawa ndio wafanyakazi wa umma tunaotarajia watende Kwa ufanisi! Kwa nini huyo mama wa nyumbani asikufuate wewe? yaani unaanza anzaje kuomba uhamisho eti unamfuata mama wa nyumbani

Hawa ndio wafanyakazi wa umma tunaotarajia watende Kwa ufanisi! Kwa nini huyo mama wa nyumbani asikufuate wewe? yaani unaanza anzaje kuomba uhamisho eti unamfuata mama wa nyumbani!
Kuna watu nimegundua mnajifanya mna weledi na akili sana kupita wengine. Hii imepelekea kufanya kazi ya kukosoa, kukejeli, na kukatisha tamaa wengine. Ikiwa hujui lolote au labda una tatizo la wivu moyoni mwako ni vema ukatulia, natumaini jf ina watu smart watakuja hapa kujibu. Nimeandika lengo langu ni kuhama kwa sababu za kisheria zinazokubalika kabisa ktk utumishi wa umma, Uhamisho wa kumfuata mwenzi/kuungana na familia. Unajua ni kwa nini nahitaji mimi kurudi huko na siyo yeye aje kwangu? Huko ni kwangu na ndiko iliko familia. Kijana mzee kama umekosa ajira kwa kufeli saili, punguza makasiriko.
 
Wakati



Kuna watu nimegundua mnajifanya mna weledi na akili sana kupita wengine. Hii imepelekea kufanya kazi ya kukosoa, kukejeli, na kukatisha tamaa wengine. Ikiwa hujui lolote au labda una tatizo la wivu moyoni mwako ni vema ukatulia, natumaini jf ina watu smart watakuja hapa kujibu. Nimeandika lengo langu ni kuhama kwa sababu za kisheria zinazokubalika kabisa ktk utumishi wa umma, Uhamisho wa kumfuata mwenzi/kuungana na familia. Unajua ni kwa nini nahitaji mimi kurudi huko na siyo yeye aje kwangu? Huko ni kwangu na ndiko iliko familia. Kijana mzee kama umekosa ajira kwa kufeli saili, punguza makasiriko.
Swali lako ni la kijinga!
 
😂😂😂😂 anaefatwa ni mama wa nyumbani au baba wa nyumbani.

Sa kwanini yeye asikufate wewe ulie kazini. Nmecheka sana.
Kuna watu nimegundua mnajifanya mna weledi na akili sana kupita wengine. Hii imepelekea kufanya kazi ya kukosoa, kukejeli, na kukatisha tamaa wengine. Ikiwa hujui lolote au labda una tatizo la wivu moyoni mwako ni vema ukatulia, natumaini jf ina watu smart watakuja hapa kujibu. Nimeandika lengo langu ni kuhama kwa sababu za kisheria zinazokubalika kabisa ktk utumishi wa umma, Uhamisho wa kumfuata mwenzi/kuungana na familia. Unajua ni kwa nini nahitaji mimi kurudi huko na siyo yeye aje kwangu? Huko ni kwangu na ndiko iliko familia. Binti mbibi kama umekosa ajira kwa kufeli saili, punguza makasiriko.
Swali lako ni la kijinga!
Kafaulu saili upate kazi, otherwise utabaki na makasiriko milele hadi unaingia kaburini. Ninaimani huna unachokijua kuhusu utumishi wa umma. Acha kiherehere wewe mtoto wa kike.
 
Kuna watu nimegundua mnajifanya mna weledi na akili sana kupita wengine. Hii imepelekea kufanya kazi ya kukosoa, kukejeli, na kukatisha tamaa wengine. Ikiwa hujui lolote au labda una tatizo la wivu moyoni mwako ni vema ukatulia, natumaini jf ina watu smart watakuja hapa kujibu. Nimeandika lengo langu ni kuhama kwa sababu za kisheria zinazokubalika kabisa ktk utumishi wa umma, Uhamisho wa kumfuata mwenzi/kuungana na familia. Unajua ni kwa nini nahitaji mimi kurudi huko na siyo yeye aje kwangu? Huko ni kwangu na ndiko iliko familia. Binti mbibi kama umekosa ajira kwa kufeli saili, punguza makasiriko.

Kafaulu saili upate kazi, otherwise utabaki na makasiriko milele hadi unaingia kaburini. Ninaimani huna unachokijua kuhusu utumishi wa umma. Acha kiherehere wewe mtoto wa kike.
Mkuu punguza hasira 😂😂😂 utahama tu....we si ndio umesema unamfata mama wa nyumbani jamani tungejuaje

ONGEA VIZURI NA WATU WA MASJALA, wana msaada sana.
Ukihitaji maelezo zaidi karibu, ila usinifokee sasa😁
 
😂😂😂😂 anaefatwa ni mama wa nyumbani au baba wa nyumbani.

Sa kwanini yeye asikufate wewe ulie kazini. Nmecheka sana.
Kuna watu nimegundua mnajifanya mna weledi na akili sana kupita wengine. Hii imepelekea kufanya kazi ya kukosoa, kukejeli, na kukatisha tamaa wengine. Ikiwa hujui lolote au labda una tatizo la wivu moyoni mwako ni vema ukatulia, natumaini jf ina watu smart watakuja hapa kujibu. Nimeandika lengo langu ni kuhama kwa sababu za kisheria zinazokubalika kabisa ktk utumishi wa umma, Uhamisho wa kumfuata mwenzi/kuungana na familia. Unajua ni kwa nini nahitaji mimi kurudi huko na siyo yeye aje kwangu? Huko ni kwangu na ndiko iliko familia. Binti mbibi kama umekosa ajira kwa kufeli saili, punguza makasiriko.
Unamaanisha nini?
 
Baada ya account yangu ku-collapse, nimelazimika kufungua account nyingine. Mimi siyo mgeni jf kama mnavyofikiria. Nimegundua jf ya sasa imeingiza vijana wa hovyo. Mtu anadiriki kusema swali la mwenzie ni la "kijinga" anasahau anawatukana moderators waliolipitisha na kumruhusu hata yeye kuwa humu. Hii siyo Facebook, zamani watumiaji wa jf tulijiita great thinkers, hata majibizano yalifanyika kwa staha sana, neno "Mkuu" hatukuacha kulitumia kwa kila argument lakini leo wamevamia BRN, hata kuandika hawajui. Nimesikitika sana.
 
Baada ya account yangu ku-collapse, nimelazimika kufungua account nyingine. Mimi siyo mgeni jf kama mnavyofikiria. Nimegundua jf ya sasa imeingiza vijana wa hovyo. Mtu anadiriki kusema swali la mwenzie ni la "kijinga" anasahau anawatukana moderators waliolipitisha na kumruhusu hata yeye kuwa humu. Hii siyo Facebook, zamani watumiaji wa jf tulijiita great thinkers, hata majibizano yalifanyika kwa staha sana, neno "Mkuu" hatukuacha kulitumia kwa kila argument lakini leo wamevamia BRN, hata kuandika hawajui. Nimesikitika sana.
Huku mwishoni, wewe utakuwa ni Mbaga Jr
 
Wakuu, naomba mnisaidie majibu ya maswali yafuatayo:

1. Naweza kuhama kumfuata mwenzi ambaye si mtumishi wala mfanyabiashara, yaani ni mama wa nyumbani?

2. Ikiwa na. 1 hapo juu inawezekana, ni viambata gani vinahitajika ktk mfumo wa ess kukamilisha hili?

Natanguliza shukrani.
Nenda jukwaa la ajira then Kuna Uzi wa kubadilishana vituo, taja halmashauri au sehemu unapofanyia kazi na idara uliyopo na unatamani kuhamia wapi, then ukipata wa kubadilishana nae process nyingine zitafuata
 
Back
Top Bottom