Uhamiaji wamezuia passport yangu!

Uhamiaji wamezuia passport yangu!

Utumika kama kitambulisho tena chenye kuaminika sana kwenye taasisi nyingi tu za huduma.Sema wwe utembei,ukiwa na vitambulisho vyote ukavitoa sehemu husika wakitaka kimoja paspot ndo itakuwa chaguo La kwanza kabla ya vingine.

Mkuu unanifahamu hadi useme mie sitembei? Hahahaaa duh! Kinachosumbua watu wengi humu ni kutokuelewa Pasipoti ni kitu gani. Toka mwanzo nimesema kuwa ili upate pasipoti lazima uwe na dhamira ya safari, pasipoti hutolewa kwa kuangalia hizo dhamira ambazo huletwa kwa maandishi (viambato) mfano unaenda India kutibiwa, lazima uje na barua toka wizara ya Afya yenye kuthibitisha hilo.

Sasa ukienda Uhamiaji kuomba pasipoti ili utumie kama kitambulisho kuwa ww ni raia wa Tanzania watakuelekeza nenda NIDA. Sijakataa kuwa pasipoti inaweza kutumika kufanya usajili wa akaunti ya Benki sawa na kadi ya mpiga kura inavyotumika lakini hilo sio lengo lake. Lengo la kuwa na pasipoti ni kusafiri nje ya nchi, full stop.
 
Mkuu naona hata ww hujaelewa nimekujibu kitu gani, nilichokujibu ni HAKI ya kupata Pasipoti na Pasipoti kutumika kama kitambulisho ukiwa ndani ya Tanzania. Sasa kama unaona nimekurupuka, ni mtazamo wako.

Watu kama wewe wakifika Uhamiaji na kueleza dhamira yao kuwa "nataka tu niwe na pasipoti ila sina safari kwa sasa labda ikitokea zali" huwa mnanyimwa na kuanza kulialia baadaye ndio mnatengeneza mazingira ya rushwa. Ukiwa umekamilisha kila kitu na viambato vya dhamira viko sawa huwezi kuhonga wala kusumbuliwa.
Mimi nilipata passport bila hata matatizo ndugu yangu. Ninachokiona wewe ndiyo hukunielewa pamoja na kukopi nini nilichokiandika huko nyuma. Sijakataa kama sheria za Tanzania zinasema hivyo ndiyo maana nilianza na kusema kwanini Tanzania suala la passport linakua gumu wakati ilitakiwa kuwa haki ya kila mtu na nikasema mpaka hapo sheria zikibadilika bado sisi tutakua nyuma na nikazungumzia suala la jeshi la polisi kuwa chombo cha chama tawala wakati jukum la polisi ni kulinda usalama wa kila raia na mgeni aishi hapa kihali au la na nikaongeza na kusema kama passport ingeweza pia kutumika kama kitambulisho narudia ingeweza wewe ndipo labda kiswahili ingeweza hujakielewa ukabisha passport siyo kitambulisho wakati mimi binafsi nimeitumia miaka kibao kama kitambulisho.
 
Mkuu unanifahamu hadi useme mie sitembei? Hahahaaa duh! Kinachosumbua watu wengi humu ni kutokuelewa Pasipoti ni kitu gani. Toka mwanzo nimesema kuwa ili upate pasipoti lazima uwe na dhamira ya safari, pasipoti hutolewa kwa kuangalia hizo dhamira ambazo huletwa kwa maandishi (viambato) mfano unaenda India kutibiwa, lazima uje na barua toka wizara ya Afya yenye kuthibitisha hilo.

Sasa ukienda Uhamiaji kuomba pasipoti ili utumie kama kitambulisho kuwa ww ni raia wa Tanzania watakuelekeza nenda NIDA. Sijakataa kuwa pasipoti inaweza kutumika kufanya usajili wa akaunti ya Benki sawa na kadi ya mpiga kura inavyotumika lakini hilo sio lengo lake. Lengo la kuwa na pasipoti ni kusafiri nje ya nchi, full stop.
Nasisi tunataka kukueleza hiyo siyo sheria nzuri na tunasema hivyo kwakua tumeishi nchi zingine na kukutana na wenzetu hata kutoka Africa passport siyo big deal kama Tanzania hakuna nchi kama UK hakuna national ID Driving licence na passport ni moja ya vitambulisho na ndicho tunataka na Tanzania iwe hivyo. Wewe hutuelezi kitu tusichokijua maana tumepitia humu kutumia sheria hiyo kupata passport kabla ya kusafiri. Unachokifanya unatetea upuuzi wa serikali ama unafanya huko au ni ignorance yako hakuna la zaidi. Unatetea sababu kuna maslahi tunajua kuna rushwa sana pale
 
Back
Top Bottom