Hii ni Tanzania na hio ni Marekani, ushoga kwao halali kwetu haramu. Uganda Konyagi Mwitu aka Gongo ni halali Tanzania ni jinai. Kwahiyo usitupangie.
Pasipoti inatengenezwa kwa gharama kubwa na ina security features kibao, zenye kuonekana kwa macho (watermark) na zilizofichwa (UV-Light) zenye kuonekana kwa mionzi ya UV.
Ni kwa mtazamo wako ila kanuni na sheria ya Passport & Travel Documents Act ya Mwaka 2007 inasema pasipoti ni kwa raia mwenye dhamira ya kwenda nje ya nchi.
Pitia hapa pia pia wanasema
"An ordinary passport may be issued to any citizen of the United Republic of Tanzania for the purpose of travelling outside the United Republic of Tanzania" kwenye nyekundu hapo ndio lengo kuu la kupewa pasipoti, otherwise endelea kulalamika tu.
Passports and Travel Documents