Natumai wote muwazima, na pia familia zenu, na marafiki wanaendelea vyema.
Mimi nina swali linanitatiza juu ya uhamiaji, nimeomba passport baada ya kupotea mbaya zaidi wameizuia kwa muda wa miezi 6 yaani mpaka mwezi wa 5 mwakani, ila nasikia mara nyingi inaashiria inahitajika rushwa ili kuipata kwa haraka na mapema tofauti na muda tajwa.
Tafadhalini nisahihisheni kama nimekosea.
Ahsanteni,
Mimi nina swali linanitatiza juu ya uhamiaji, nimeomba passport baada ya kupotea mbaya zaidi wameizuia kwa muda wa miezi 6 yaani mpaka mwezi wa 5 mwakani, ila nasikia mara nyingi inaashiria inahitajika rushwa ili kuipata kwa haraka na mapema tofauti na muda tajwa.
Tafadhalini nisahihisheni kama nimekosea.
Ahsanteni,