Ukitaka uishi maisha mafupi ingia kwenye ndoaUkishaamua kuolewa kubali kuishi maisha ya ndoa .. Na kubali kuishi maisha ya mtoto akiwepo.. Kama hutaki kushi maisha ya mwingine better to be alone for life ....
But kila hatua maishani ni
Vizuri kujifunza kuhifurahia .. Na pia kujifunza kukabiliana na changamoto utaenjoy maisha yako yote ila ukishindwa kufurahia kila hatua utakuwa unalalamika ambapo hupeleke kupoteza mwelekeo na kuwa na chuki mda mwingi na furaha kusikia kwa wengine...
Mbarikiwe