ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Taifa lenye Afya linaweza kuwa na maendeleo, na ni jukumu la serikali kuhakikisha Wananchi wake Wana afya. Moja Kati ya magonjwa hatari sana yanayoikumba Tanzania ni Kisukari, ugonjwa huu unatokana na matumizi makubwa ya sukari ambayo pamoja na vyakula Kama wanga, na bidhaa zinazotengenezwa na sukari husababisha chimically ya insuline kuwa nyingi kupita kawaida na kuchangia unene uliopitiliza na pia huleta mtu kupata sukari.
Sasa nashangaa najua sukari Haina faida yoyote kwa binadamu zaidi ya faida ya kiuchumi tu, Ila ni mbaya kwa Afya, sukari isipokuwepo hatufi Bali uchumi utazorota Sasa serikali kupiga chapuo masukari kuwa mengi ni Kama kuwatoa sadaka Wananchi wake na ugonjwa huu mbaya wa sukari. Tupunguze au Tuache kabisa matumizi ya sukari na bidhaa zake ni mbaya
Sasa nashangaa najua sukari Haina faida yoyote kwa binadamu zaidi ya faida ya kiuchumi tu, Ila ni mbaya kwa Afya, sukari isipokuwepo hatufi Bali uchumi utazorota Sasa serikali kupiga chapuo masukari kuwa mengi ni Kama kuwatoa sadaka Wananchi wake na ugonjwa huu mbaya wa sukari. Tupunguze au Tuache kabisa matumizi ya sukari na bidhaa zake ni mbaya