wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,210
- 37,829
Ipo kibrazamen mkuu.Hainichukui chap kama spirit nyingine
Ipo kibrazamen mkuu.Hainichukui chap kama spirit nyingine
Huku wadau wanaiita kisungura, utaskia aisee tupo kwa mama kimbo tunakula sunguraAsikwambie mtu, sasa hivi mtaani pombe ni smart gin. Unywaji wake na viroba hauna tofauti, mtu anapaki boda boda huku anaendelea kunywa mdogo mdogo.


Ina kapicha ka sungura. Nikinywaga hivyo vinne huwa nakaa kwenye kiti home mpaka asubuhi.Huku wadau wanaiita kisungura, utaskia aisee tupo kwa mama kimbo tunakula sungura
Sent using Jamii Forums mobile app
liiipia tangazoNdugu wajumbe,
Pombe hii spirit ambayo imejipatia umaarufu mkubwa mtaani kwa siku za karibuni ambapo inazalishwa hapa hapa Tanzania mkoa wa Shinyanga. Wakati watu wakiendelea kufurahia radha murua na kuanza kuzipoteza baadhi ya pombe zingine na baadhi ya spirit za hapa nchini.
Ghafla katika hali ya sintofahamu imepotea, hasa ile size ya mwisho kabisa haipatikani. Hvyo kuleta sintofahamu kwa watumiaji ambao wamepata sintofahamu, na wengne imefikia hatua kujihoji je, ni hii changamoto ya kitaifa ya maji?
Naamini humu wapo either wazalishaji au wadau ambao wanaweza kutuletea majibu ili tupunguze sintofahamu mtaani.
View attachment 2404465
Huku mtaani kwetu3500Hio kubwa ni elfu 12 size ya kati ni buku 10 na size ndogo ni buku 4