goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,839
- 13,129
Hicho kinywaji siyo nzuri kwa urembo wako dadaSikuwa naijua, siku natafuta ya kuchamganyia muuzaji akaniambia jaribu hii ni nzuri na nikaipenda siku hiyo hiyo. Halafu sikujua kama ni ya TZ
Hicho kinywaji siyo nzuri kwa urembo wako dadaSikuwa naijua, siku natafuta ya kuchamganyia muuzaji akaniambia jaribu hii ni nzuri na nikaipenda siku hiyo hiyo. Halafu sikujua kama ni ya TZ
mmh!!Hicho kinywaji siyo nzuri kwa urembo wako dada

Urembo wa kazi gani?Hicho kinywaji siyo nzuri kwa urembo wako dada
Chupa moja nikeshe nayo mkuu labda kwakua wewe ni mtoto wa kikeKumbe unaijua au ujiichanganyia amarula ni bonge moja la Cocktail, sawa na Black &white uiwekee coka baridi hapo uko sehemu tulivu pembeni mbavu za mbuzi zimenakshiwa na limao pilipili na chumvi kidogo hapo ushapiga lita moja ya maji , yaanj ukianza saa sita kumi na moja kamili inakua jirani sana.
Urembo wa kazi gani?
Huu mwili ni wa duniani tu mbinguni tunapewa mwili mpya



nimepiga picha nakuona eti mezani imeagiza hance choice hatari sanBonge ya kinywaji ukichanganya na zanzi au amarula.nimepiga picha nakuona eti mezani imeagiza hance choice hatari san
Acha pombe ipo siku itakudhalilishanaijua Sana hiyo Ina ladha nzuri hainguzi mdomoni kama zingine shida IPO kwenye hangover yaani asubuhi nakuwa mkali Sana alafu nashindwaga hata kunywa maji
Nani alikuwa anachakachua?wao wenyewe?Huku tunaiita Hennesy pori....ilianza kuchakachuliwa ...demand yake ikashuka..nafkir ndo.sababu kubwa..ila pombe nying za spirit hasa hiz ndogo nq size ya kati zimeadimika sanaa mtaani
siachii, inidhalilishe kwani najifunzaa Mara nyingi nikizidisha huwa napoteza vitu lakini kunidhalilisha haiwezi kwavile naimudu!Acha pombe ipo siku itakudhalilisha
Kampuni ya Mangi hio, mwenye nayo anaitwa G. Kileo,na hansi Ni jina la Mtoto wake.Sikuwa naijua, siku natafuta ya kuchamganyia muuzaji akaniambia jaribu hii ni nzuri na nikaipenda siku hiyo hiyo. Halafu sikujua kama ni ya TZ
Kaa angalau siku saba, japo unaweka kunywa baada ya siku 3Bonge ya kinywaji ukichanganya na zanzi au amarula.
Out of topic: hivi mtu akimaliza dose anatakiwa kukaa siku ngapi anywe pombe? Nishapata hamu halafu siku ya 5 hii tangu nimalize madawa kibao
Nitasubiri siku 7. ThanksKaa angalau siku saba, japo unaweka kunywa baada ya siku 3
Hongera zake.Kampuni ya Mangi hio, mwenye nayo anaitwa G. Kileo,na hansi Ni jina la Mtoto wake.