Uhaba wa pombe aina ya HANSON'S CHOICE mtaani

Uhaba wa pombe aina ya HANSON'S CHOICE mtaani

Mbassa jr

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
1,234
Reaction score
3,235
Ndugu wajumbe,

Pombe hii spirit ambayo imejipatia umaarufu mkubwa mtaani kwa siku za karibuni ambapo inazalishwa hapa hapa Tanzania mkoa wa Shinyanga. Wakati watu wakiendelea kufurahia radha murua na kuanza kuzipoteza baadhi ya pombe zingine na baadhi ya spirit za hapa nchini.

Ghafla katika hali ya sintofahamu imepotea, hasa ile size ya mwisho kabisa haipatikani. Hvyo kuleta sintofahamu kwa watumiaji ambao wamepata sintofahamu, na wengne imefikia hatua kujihoji je, ni hii changamoto ya kitaifa ya maji?

Naamini humu wapo either wazalishaji au wadau ambao wanaweza kutuletea majibu ili tupunguze sintofahamu mtaani.

JamiiForums-625749508.jpg
 
Nzuri sana ukichanganya na zanzi

Kumbe unaijua au ujiichanganyia amarula ni bonge moja la Cocktail, sawa na Black &white uiwekee coka baridi hapo uko sehemu tulivu pembeni mbavu za mbuzi zimenakshiwa na limao pilipili na chumvi kidogo hapo ushapiga lita moja ya maji , yaanj ukianza saa sita kumi na moja kamili inakua jirani sana.
 
Kumbe unaijua au ujiichanganyia amarula ni bonge moja la Cocktail, sawa na Black &white uiwekee coka baridi hapo uko sehemu tulivu pembeni mbavu za mbuzi zimenakshiwa na limao pilipili na chumvi kidogo hapo ushapiga lita moja ya maji , yaanj ukianza saa sita kumi na moja kamili inakua jirani sana.
Sikuwa naijua, siku natafuta ya kuchamganyia muuzaji akaniambia jaribu hii ni nzuri na nikaipenda siku hiyo hiyo. Halafu sikujua kama ni ya TZ
 
Mbona ipo aisee jana usiku nilikuwa bar moja hapa Dodoma, jamaa watatu meza ya pembeni yangu walikuwa wanakula hilo kubwa wakati mm nikila kale kasichana mdogo mdogo na mbuzi choma
Nilikuona hapo Mboriko pub ,unApambna
 
Back
Top Bottom