Candyscorpion JF-Expert Member Joined Dec 29, 2015 Posts 769 Reaction score 790 Jun 11, 2016 #21 Hahahahahaha eminentia na mudawote mmenichekesha sana kwa vituko vyenu!!!
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 176,522 Reaction score 194,440 Jun 11, 2016 #22 Wala hakuna ugumu... ukikosea na ukijua umekosea unaomba msamaha... Kwa wale ambae wanaokuwa wagumu kuomba msahama inategemea wameletewa vipi hilo jambo...
Wala hakuna ugumu... ukikosea na ukijua umekosea unaomba msamaha... Kwa wale ambae wanaokuwa wagumu kuomba msahama inategemea wameletewa vipi hilo jambo...
irk JF-Expert Member Joined Jun 5, 2016 Posts 486 Reaction score 390 Jun 11, 2016 #23 As long as sitoota mkia nikisema...ohhh nisamehe[emoji54]
cesilia JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 1,233 Reaction score 1,252 Jun 11, 2016 #24 Kingsharon92 said: Mimi huwa ni mwepesi sana wa kuomba msamaha Click to expand... hongera saaana huo ndio uungwana
Kingsharon92 said: Mimi huwa ni mwepesi sana wa kuomba msamaha Click to expand... hongera saaana huo ndio uungwana
Double square Member Joined Feb 15, 2016 Posts 58 Reaction score 16 Jun 12, 2016 #25 Msamaha ni kitu ambacho chaweza jukufanya hata moyo ulifura bkwa hasira upungue hvyo ni muhimu kuomba msahama hasa wale wa kwenye mahusiano
Msamaha ni kitu ambacho chaweza jukufanya hata moyo ulifura bkwa hasira upungue hvyo ni muhimu kuomba msahama hasa wale wa kwenye mahusiano
sab JF-Expert Member Joined Jan 25, 2013 Posts 5,746 Reaction score 4,353 Jun 12, 2016 #26 Kujitambua