socha
Member
- Nov 25, 2015
- 42
- 24
Habari?
Natumaini mu wazima wa afya, kwa wasio vizuri kiafya poleni sana. Jamani kwa upande wangu nimetafuta sana kazi bila mafanikio mpaka nahisi kukata tamaa.
Nafikiria kujiajiri lakini mtaji nao changamoto kwangu. Kwa mwenye kazi au hata anaeweza kuniunganisha sehemu inapopatikana anisaidie jamani kwa mwanza au geita.
Please help me
Elimu yangu ni form 6
Kama uzi utakukera samahani ukinitusi haitakuwa haki jamani.
Asanteni.
Natumaini mu wazima wa afya, kwa wasio vizuri kiafya poleni sana. Jamani kwa upande wangu nimetafuta sana kazi bila mafanikio mpaka nahisi kukata tamaa.
Nafikiria kujiajiri lakini mtaji nao changamoto kwangu. Kwa mwenye kazi au hata anaeweza kuniunganisha sehemu inapopatikana anisaidie jamani kwa mwanza au geita.
Please help me
Elimu yangu ni form 6
Kama uzi utakukera samahani ukinitusi haitakuwa haki jamani.
Asanteni.