Asante mumy,dady toka nimtume juic hajarud mpaka saiv
Anakuletea usijal nimepishana naye anaenda dukani labda apitiwe na shetani maana shetani anapenda kuongozana na watu ndo maana huwa anawapitia
Bora kama tabasamu limeonekana maana ulivyokuwa umenuna kwa uchungu wa dawa!
R.I.PTembosa,@Kiwetangu Mwanyasi Bantu lady Ruttashobolwa strong ruler M.E.M.A Judgement charminglady na utafiti nashkur sana kwa sala zenu,kwasasa nimeanza kurecover
Rip Vale😭😭😭Taarifa zilizonifikia ni kwamba ndugu yetu,dadaa yetu 'Valentina' ni mgonjwa hivyo kama wanajamii wa CC na MMU tunaombwa kumkumbuka katika maombi Mungu amrejeshee afya njema.
Mungu akushushie uponyaji Valentina
CC; kiwatengu;shansarie;Bantu lady;chocs;Baba V;ladydoctor;excell;uran;sungura1980;miss changa;Judgment,DEMBA;
Mentor;mwallu;katavi;Husnyo;sosoliso;paloma;
Pole kwa msiba mzito. Nakutumiaje rambirambiget well soon my sweetyheart.
i love u sana.
maumivu yako maumivu yangu
Mkuu, sijakuelewa.Pole kwa msiba mzito. Nakutumiaje rambirambi
Bro. Ndio nasikia kutoka kwako.Rip Vale😭😭😭