Ugonjwa wangu ni weupee...

Ugonjwa wangu ni weupee...

Kawaida wanaume weupe hupenda ke weusi na ke weusi hupenda me weupe..

Its automatically watu hupenda ku-mix rangi.
 
Kawaida wanaume weupe hupenda ke weusi na ke weusi hupenda me weupe..

Its automatically watu hupenda ku-mix rangi.

Kuna ambao sio weupe na pia sio weuc...wanaitwa wa maj ya kunde...kwan wao wapo wap!
 
Sio lazima kila mweupe huku na kule awe mweupe,wengine huku weupe kule weussssi,sasa ukikutana na huyo wa hivyo magombe junior sijui utamuacha!
 
Last edited by a moderator:
Mimi bwana mambo yote ni mtoto wa kibantu tu, chini ya hapo najishusha hadhi atiii!
53fca097cecae47f77dc92994817a87e.jpg
 
legezeni mashart kidogo jamani carolite zishapigwa marufuku lol.!

Haha kuna jamaa alisema ye akina vyeus mangala hapindui..tena akiwa mfup ndo added advantage....
 
Sio lazima kila mweupe huku na kule awe mweupe,wengine huku weupe kule weussssi,sasa ukikutana na huyo wa hivyo magombe junior sijui utamuacha!

Hahah..mpaka umri huu cjakutana na mixture iyo...nadhan haipo....

Ujue kwa nje anapigwa na jua vumbi...so ndan loooh mashalaah
 
Last edited by a moderator:
Wewe hata pm hujibu..tukusaidiaje?

Teheeee mkuu sasa mambo ya chumbani unakuja kusemea sebuleni mbele ya watoto? Hata kama kunifinya si unifinyie chumbaniiii...? Hata watoto wakiniuliza mbona ngozi inaonekana vile niweze kusema niling'atwa na mbu!
 
Back
Top Bottom