Tehe...so i gat dirty mind!!...ntake radh kwa kwel....we pia sentensi yako ilikua tata...
Wewe hata pm hujibu..tukusaidiaje?
Kuna ambao sio weupe na pia sio weuc...wanaitwa wa maj ya kunde...kwan wao wapo wap!
Tehe tehe...kuna ambao kwenu hawajiwez...so ngoma droo
Hahahahha...kwa iyo umemkimbia "the boss" pm!!..rud bana ukamsikilize...
Sio lazima kila mweupe huku na kule awe mweupe,wengine huku weupe kule weussssi,sasa ukikutana na huyo wa hivyo magombe junior sijui utamuacha!
Mimi bwana mambo yote ni mtoto wa kibantu tu, chini ya hapo najishusha hadhi atiii!
View attachment 158330
Wewe hata pm hujibu..tukusaidiaje?
Hahaha...kwenye mgegedo...miis chaga ata picha uoni!...kwa iyo na we ndo ivo mtan!!!