Ugonjwa wangu ni weupee...

Ugonjwa wangu ni weupee...

Mimi mwanamke ugonjwa wangu ni kuanzia Maji ya kunde-Mweupe, vyeusi mangala na sijui chokuleti color hapana kwakweli.Nachokiangalia kwa mwanamke kabla sijamuapproach ni vitu vitatu vya awali (Sura,Shape & Color)
 
Wasalaam wana mmu...
Bas wadau mi msichana akiwa mweupe loooh hoiii...hua nawaza kama uson au mikoni ni meupe kiac icho je panapofichwa!!!

Hii imeniathiri kiasi cha kunifanya niwe na list ya wadada weupee tuu ingawa i preffer natural si ya carolite...

Kwan we rang gan unakutoa pangon!..kwa ote me na ke

Hata weupe wa mkorogo?
 
Mimi mwanamke ugonjwa wangu ni kuanzia Maji ya kunde-Mweupe, vyeusi mangala na sijui chokuleti color hapana kwakweli.Nachokiangalia kwa mwanamke kabla sijamuapproach ni vitu vitatu vya awali (Sura,Shape & Color)

Haha...shkamoo mkare
 
Mi rangi zote ni ugonjwa wangu ila sharti awe na obama ilojazia aiseee.
 
Back
Top Bottom