Dawa ya Maradhi ya kifafa ninaijuwa kwa mwenye kutaka anitafute kwa njia ya Email Baruwa ya pepe nitumie Email address yangu hii fewgoodman@hotmail.comDuuh! Mzizi mkavu uko juu sana,Kweli JF ni kila kitu.
Poresana kwa tatzo alironalo mdogo,mi ninadawa ya asili inatibu tatzo hilo harakasana jitaidi uwasiliane nami nijue jinsi ya kumsaidia huyokijana kabla ugonjwa haujakomaa.kwa maelezo zaidi ntafute 0759217720.
Naumia niimempoteza mwanangu akiwa na umri wa miaka mitatu na miezi tisa 2014 kwa homa hii ya degedege . mungu mlaze mahali pema peponi amina(RAZAKI RASHID MOHAMED)View attachment 218089
hivi ugonjwa wa kifafa unatibika kweli? maana ninamdogo wangu kaugua kifafa akiwa na umri wa miaka 24.