Ugonjwa wa Ebola waingia jijini Mwanza!

Mgonjwa mmoja ambaye n mtoto amebainika kuwa na dariri zote za ugonjwa wa ebora katka hosp ya s.toure na kupelekwa bugando ambapo hata hivyo insemekana amerudishwa kupata sehemu maarumu ya kumuhifadhi ikiwa n pamoja na kuweka mahema sehemu

Pole,unafanya kazi nzuri ya kumsaidia shetani kuwafanya wanadamu kuwa roho juu.
 
mfumuko wa bei unatuua
malaria ndo usiseme
sasa ebola imevuka ziwa inakuja huku bara
malawi vita in waiting.

Twafaaaaaaaaaaaaaa na raisi katoka Uganda, kaunganisha ghana. Akirudi sijui Msata?
 
kuweka wagonjwa wa ugonjwa wa hatari unaoambukiza kirahisi kama huu katikati ya mji ni hatari sana.

Ziwa linahusika kwa maana ya kwamba kuwepo na kisiwa maalum chenye "colony" la kuwaweka wagonjwa wote wa ebola wa kanda hii, ili kusudi kupunguza maambukizi, kwamba mtu mpaka kukutana nao ni kwamba umeenda kwenye kisiwa hiki kwa shughuli mahsusi mostly kama ni mganga uliyevaa special gear.

Hapo ndipo ziwa linapohusika kwa sababu ni natural barrier.
upo sahihi mkuu bcoz pale wanapowaweka ni sehemu yenye shuguli nyingi na watu wengi hukusanyika kufanya biashara hivyo ni rahisi zaidi kusambaaa
 
Kama mganga mkuu wa Mkoa Mwanza amethibitisha nategemea wizara ya afya itoe tamko mapema iwezekanavyo kufuatia habari hii nzito, na kueleza wazi tahadhari za muhimu.
 
Ee Mungu turehemu. Badala ya kuingia vitani na Malawi, hebu vita na ugonjwa huu itangazwe mara moja.
 
mfumuko wa bei unatuua
malaria ndo usiseme
sasa ebola imevuka ziwa inakuja huku bara
malawi vita in waiting.

Twafaaaaaaaaaaaaaa na raisi katoka uganda, kaunganisha ghana. Akirudi sijui msata?

na bado ajali kweli twafaa mwaka huu!!!****** huyu mmmh???
 
Mgonjwa mmoja ambaye ni mtoto amebainika kuwa na dalili zote za ugonjwa wa ebora katika hospitali ya Sokotoure na kupelekwa Bugando ambapo hata hivyo imesemekana amerudishwa kupata sehemu maalumu ya kumuhifadhi ikiwa ni pamoja na kuweka mahema sehemu.

title inaonyesha kuwa tayari ebola ipo mwanza wakati doctor kasema mgonjwa ana dalili za ebola na vipimo vimepelekwa nje ya nchi kwa uthibitisho zaidi hebu itendee haki habari hii mkuu wote tumeiona
 
Tuna hofu ya kwmb serikali legelege dhaifu italalama ya kwmb kama sio mgomo wa madaktari huu ugonjwa isingetufikia,Serikali dhaifu kama hii ya jk haikaiwii kulalama!


TAHADHARI: tusije tukahusianisha ebola na mgomo wa madaktari.[ina maana mgomo ndio unasababisha ugojwa wa ebola?

Hata mbuyu iliota kama..................!!

TUCHUKUE TAHADHARI MAPEMA JAMANI!
 
Back
Top Bottom