kabanga
Platinum Member
- Dec 12, 2011
- 37,609
- 18,988
nitakupatia.....mkuu unaweza kutupa msaada jinsi ya kutengeneza hizo dawa yani pilipili,kitunguu swaumu na nyanya asante.
nitakupatia.....mkuu unaweza kutupa msaada jinsi ya kutengeneza hizo dawa yani pilipili,kitunguu swaumu na nyanya asante.
Dawa ipi sasa inafaa kuondoa hao fungusAliekuuzia itakua alichanganya hawa wadudu na ugonjwa wa ubwiri unga (powdery mildew)
Mkuu kabanga heshima kwako, mkuu kama hutojali nami maomba unijuze mamna ya kutengeza hizo dawa kwa kutumia pilipili, nyanya na kitunguu swaum.nitakupatia.....
Waungwana, nitaandika kile kitakachosaidia, kwa sasa nipo muda mwingi field....Mkuu kabanga heshima kwako, mkuu kama hutojali nami maomba unijuze mamna ya kutengeza hizo dawa kwa kutumia pilipili, nyanya na kitunguu swaum.
Naomba ni-tag kwenye hilo bandiko nikasome plse.Waungwana, nitaandika kile kitakachosaidia, kwa sasa nipo muda mwingi field....