Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Kweli karibu mgeni apone imeendelea hadi kwenye upande wa kirooho pale
watanzania wanapolazimikakuamka mapema asbh na hivyo kufika mapema mjini
kutokana na kukosa cha kufanya na milango kufungwa wamelazimika kwenda makanisani
kumshukuru mungu ...ama kwa ajili ya ugen huu ama kwa mambo mengine binafsi
Kwa kweli tangu ugeni uanze mkutano leo hii nimeona idadi ya ajabu kanisan na sikusita
kutangaza madhabahani kwenye misa ya asbh kwa baraka za mungu kutuongezea waumini
alisema mmoja wa wa maa askofu wa kanisa moja la kilutheri pale mjini...mwandishi akusita
kuelekea kanisa la roman st joseph ambapo hapo ilikuwa kama misa ya jumapili watu walipoamua
kumfwata Mungu rasmi....
K wa kweli wagen atuna cha kuwapa ila neno letu moja tu MUNGU awabariki jamani mzidi kuja mara kwa mara
watanzania wanapolazimikakuamka mapema asbh na hivyo kufika mapema mjini
kutokana na kukosa cha kufanya na milango kufungwa wamelazimika kwenda makanisani
kumshukuru mungu ...ama kwa ajili ya ugen huu ama kwa mambo mengine binafsi
Kwa kweli tangu ugeni uanze mkutano leo hii nimeona idadi ya ajabu kanisan na sikusita
kutangaza madhabahani kwenye misa ya asbh kwa baraka za mungu kutuongezea waumini
alisema mmoja wa wa maa askofu wa kanisa moja la kilutheri pale mjini...mwandishi akusita
kuelekea kanisa la roman st joseph ambapo hapo ilikuwa kama misa ya jumapili watu walipoamua
kumfwata Mungu rasmi....
K wa kweli wagen atuna cha kuwapa ila neno letu moja tu MUNGU awabariki jamani mzidi kuja mara kwa mara