Uganda's Opposition harmed by Museveni's hard tactics

Uganda's Opposition harmed by Museveni's hard tactics

M7 ana wasi-wasi mana shoga yake Gadafi yuko njiani. Amerika imesha mchoka siku nyingi!

Anapaginaniya roho yake kwa kufahamu fika Uganda siyo makao yake ya kudumu.
 
M7 anatia aibu tu kama viongozi wengine wanaokandamiza na kuitia aibu demokrasia Afrika............
Ni mtia aibu tu kama Gbabo, Gadaffi, Mugabe, Kikwete n.k Hwa viongozi Ni janga kwa nchi zetu............
 
on behalf of of dr slaa,hon wenje and hon lema ,oh Lord i hereby kneel before you and fire back the arrow of body infirmity to the person named nickly as apolycaripto i pray this in the name of Jesus Christ Amen.
 
ni mtutu kwa kwenda mbele..............no freedom of expression
 
Madictetor mawili yaliyobaki Africa baada ya Gadafi ni Mseveni na Mugabe.
Na anachokifanya mseveni ni maandalizi ya kuondoka kubaya kunakomwita. Yetu macho!!
.
 
Ushasema Museven n Besigye walikuwa marafik we unajua uhasama wao ulianzaje?,asa kan lema na kikwete walikuwa marafik au Dr.sla na Jk walikuwa marafik?emu acha kukariri
 
.
Zitto Lissu Mdee wapelekwe guantanamo.
Waliobaki, kifungo cha maisha..

Huyu kwake haitakuwa ni adhabu itakuwa ni kumpa bata maana atapa fursa ya kukaa na wanawake huko jela.
 
WanaJF,
Incredible? Yes we may be shot, but the cause will prevail. Wote wenye mawazo ya aina hiyo wajue hatuogopi Bunduki, Kumbuka baadhi ya Watanzania waliisha kubeba mabango kuwa ni afadhali kufa kwa "ukimwi kuliko....."wamechoka. Tunaitwa wachochezi, sasa kwa mawazo hayo nani mchochezi.....Wenye busara na akili watajua..Muhimu, lakini mhusika ajue, binadamu alizaliwa mara mmoja na atakufa mara mmoja, provided it is for a good cause (objectively assessed).


Nadhani hiki ndicho kinachotakiwa kufanywa kwa wanaoshindwa chaguzi na ku resort kwenye kuhamasisha vurugu kama Slaa.
 
Hakuna gamba lililovuliwa ni kiini macho tu! CCM ni ile iliyokuwa jana na leo! Hakuna aliyemsafi hata mmoja! Wamewaonea kina makamba na wenzake kwa kuwa hawana nguvu ya pesa! Mbona wale wenye Pesa zao wamewapa siku 90 tena hawa ndio waliomweka mwenyekiti kwenye hiyo nafasi hakuna hatua zitakazo chukuliwa zaidi ya hapo! Kama GAMBA limetolewa basi ni mkiani na sio mwili mzima! Kama wakilitoa mwili mzima na Mwenyekiti ni Gamba pia! TUSIDANGANYIKE NA KAULI NYEPESI!
 
Angelikuwa MKALI kihivyo, basi akina Lowassa, Chenge, Manji, Rostam et el wangelikuwa JELA au MAITI miaka mingi na hiyo wala isingeliwapa umaarufu hawa wote uliowaandika chini. Hawa ni Product ya Uzembe wa Muungwana na siyo Chanzo.
 
Nilijua mtakuja tu na lugha za mitaani humu Jf.Eti hiki ndicho kizazi cha mabadiliko,aibu tupu!.Kadri CDM itakavyo wapa nafasi ya ukada ndio mwisho wake na nyinyi unakaribia.Watanzania hawako tayari kuwasikiliza watu wa caliber yenu (kila hoja kulopoka pasipo fikra ili mradi tu keyboard iko mbele) na mnachafua chama kuonekana cha kijiweni.

Endeleeni kuchangia upupu tu nyinyi wana Popo's Poa."any way kwakuwa wote tumejificha humu kwa fake names,tutaendelea kupambana tu mpaka kieleweke humu Jf.hadi kila mtu avue magamba ya otovu wa nidhamu.
 
Madictetor mawili yaliyobaki Africa baada ya Gadafi ni Mseveni na Mugabe.
Na anachokifanya mseveni ni maandalizi ya kuondoka kubaya kunakomwita. Yetu macho!!
.

madictator wawili tu?!, huyu ****** je?.
 
WanaJF,
Incredible? Yes we may be shot, but the cause will prevail. Wote wenye mawazo ya aina hiyo wajue hatuogopi Bunduki, Kumbuka baadhi ya Watanzania waliisha kubeba mabango kuwa ni afadhali kufa kwa "ukimwi kuliko....."wamechoka. Tunaitwa wachochezi, sasa kwa mawazo hayo nani mchochezi.....Wenye busara na akili watajua..Muhimu, lakini mhusika ajue, binadamu alizaliwa mara mmoja na atakufa mara mmoja, provided it is for a good cause (objectively assessed).

Sidhani kama kufa kwa sababu za ubinafsi na uroho wa madaraka ni sifa nzuri, hautakuwa tofauti na mizoga ya majambazi na vibaka. Inahuzunisha sana kuona watu wa umri wako mkiitumbukiza nchi hii kwenye vita wakati ninyi mmelelewa kwa amani na utulivu, huu ni ubinafsi wa hali ya juu na historia itakukumbuka hivyo.
 
Bora huyu anatumia mtutu pekeyake , kwetu tz ni mtutu + religious segregation.
 
Nyie majuha wa CCM acheni hizo ndoto za mchana. Mwambieni huyo Kiwete wenu ajifanye M-7 muone kama nchi haijawaka moto.
Matokeo ya Uchaguzi wetu wa 2010 hayana tofauti sana na kile kilichotokea kule Cote de Vour kwamba Kiwete ndo Laure Bagbo na Dr. Slaa ndo Allasan Wattara. Kwamba Kiwete aling'ang'ania kukaa Ikulu ilhali alikuwa ameshindwa na hivyo Dr.Slaa naye angetangaza kuwa ni mshindi wa u-Rais(na ndivyo ilivyokuwa).

Lakini kwa vile NEC na UWT waliamua kuchakachua na kuiba KURA za CDM ili Kiwete aonekana kuwa ameshinda na kwa kutumia UPOLE/AMANI(una/inatoweka kwa sasa)na UDHAIFU wa KATIBA mbovu tuliyonayo Dr.Slaa alitumia BUSARA kutojitangaza kuwa naye ameshinda. Hii lime epusha yale ambaye YAMEMPATA BAGBO baada ya kukamatwa kama kuku aliyelowa!

Kila m-tz mpenda haki anajua Dr.Slaa ndiye alikuwa mshindi. CCM walitumia ubabe na CDM wakaamua kutumia BUSARA na hivyo kuepusha aibu kubwa ambayo wangeipata CCM na Kiwete wao.

Lakini 2015 CCM msahau utapeli wa 2010. Labda KATIBA mpya isikamilike within these 2-4 years to come. Tunajua kuna juhudi za makusudi za CCM kujaribu kulazimisha KATIBA MBOVU itakayolinda maslahi yao lakini this time MMENOA step! Subiri anguko takatifu tu 2015.
 
Kufuatia maandamano yanayoendelea huko uganda,polisi nchin humo wamempiga risas mkonon kiongoz wa chama cha upinzani huko uganda
sosi bbc

Haya Obama kazi nyingine hiyo Africa. Naamini viwanda vya silaha vitaendelea kuzalisha na kukuwa kabisa.
 
Back
Top Bottom