Uganda's Opposition harmed by Museveni's hard tactics

Ila jamaa ni mbishi,kila uchaguzi lazima azushiwe jambo,sas ameamuwa kupambana na asipo angalia mseven atammaliza

Nimeishi Kampala, Uganda kwa miaka 3. Kwa ujumla M7 ni dikteta. Kinachofuatia atammaliza kabisa
 
Kwa hali hii demokrasia Afrika itakuwepo kweli ama ni hadithi za kusimulia kuhusu demokrasia!
 
Lakini Dr Slaa ana mke wake? ...... sasa kama unasema humpendi si utafute mwingine bana?.....au mm sijakuelewa man....sijui jinsia yako lakini MJEPU usimchukie mtoto wa kiume Slaa kwa sababu za kibinafsi.bana.mpende tuu kwa sababu katushushia bei ya sukari huku Kilombero wakati inazalishwa maili moja tuu toka hapa kwangu.haluuuuu....upo...
 
  • Thanks
Reactions: WFM
Habari kutoka nchini Uganda zinasema kwamba kiongozi wa upinzani nchini humo Kizza Besigye amepigwa risasi ya mkono na maafisa ya wa polisi ambao walikuwa wakijaribu kuwatawanya watu walikuwa wakiandamana na kiongozi huyo wa upinzani mjini Kampala leo.
SOURCE: BBC NEWS
 
Ndani ya Nchi yake kuna vichaa kama Godbless Lema(a.k.a kimeta wa merelani),Wenje,W.Slaa hawa wote ni watu wa mavurugu na wachochezi kupindukia lakini hawajafanywa Walemavu...........Mbona huku Tanzania ni mengi na kesho kutwa yako barabarani tena na matusi lukuki kwa Rais "kweli Nchi na Uongozi zinatofautiana". Kama hivyo UDUMU KIKWETE ili sisi CDM tuendelee kupeta.


Are you? Hell no, please just shot my head..........

eti sisi CDM...yaani na wewe?

You must be dreaming you coward......Dare he....
 
JK inatakikana aende mbali zaidi ya M7.
Slaa apigwe risasi ya ubongo.
Lemma na mbowe wahukumiwe kunyongwa na adhabu itolewe papo hapo.
Zitto Lissu Mdee wapelekwe guantanamo.
Waliobaki, kifungo cha maisha.

Ungekuta jK saa hizi anakula zake bata wala hamna headache
Simple.

Sasa unaonaje ukampelekea huu ushauri uzuge kama ni wewe ndio umefikiria..
Wala sita mind umechukua copyright ya idea yangu.
 
Afrikan leaders have the same characters,.......hakuna hata mtu atakayemkemea it means hakuna rais atakaye mkemea
 
Ndani ya Nchi yake kuna vichaa kama Godbless Lema(a.k.a kimeta wa merelani),Wenje,W.Slaa hawa wote ni watu wa mavurugu na wachochezi kupindukia lakini hawajafanywa Walemavu. Je!Rais huyu anadhihirisha upole wake ama ni uoga.Uganda aliyekuwa rafiki na hatimaye kugeuka mpinzani mkubwa wa Rais Mseven Dr. Kiiza Besigye inaripotiwa kapigwa risasi mkononi kisa "maandamano".Mbona huku Tanzania ni mengi na kesho kutwa yako barabarani tena na matusi lukuki kwa Rais "kweli Nchi na Uongozi zinatofautiana".Kama hivyo UDUMU KIKWETE ili sisi CDM tuendelee kupeta.

Wewe si CDM ni mbumbumbu usojua hata katiba inasemaje kuhusu haki ya maandamano
 
Afrika tunakazi lakni mwisho wa mlevi mseveni unaehasabika wewe subiri tuone.
 
By Fred Ojambo
April 14 (Bloomberg) -- Uganda’s main opposition leader, Kizza Besigye, was shot in the arm by a soldier while leading a protest march in the capital, Kampala today, Judith Kabanda, a regional chairwoman for Besigye’s party, said in a phone interview.
Police are still investigating and couldn’t confirm whether Besigye, leader of the Forum for Democratic Change, had been shot, spokeswoman Judith Nabakooba said. Besigye had been protesting against rising fuel and food costs in the East African nation.

SOURCE Uganda’s Opposition Leader Besigye Shot in Arm by Soldier - Businessweek
 
hii inaitwa WALK TO WORK/PRAY protest ---- hasira ya wananchi inazidi kupanda tu, change is coming to Uganda
 
Hizi nchi za Ki-africa zina laana. Mtu anaandamana kupinga kupanda kwa ghalama za bidhaa muhimu kwa maisha analimwa risasi? IPO SIKU TU
 
Wangempiga ya **** ili atulie kujipanga kwa uchaguzi ujao na sio kupinga uliopita. Na hapa kwetu waige askari wa M7
 
Back
Top Bottom