Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Imeripotiwa kuwa nchini Uganda kuna ongezeko la Wanaume wanaonyonya maziwa ya wake zao mara baada ya kujifungua
Kuna taarifa kuwa Wanaume hunyonya maziwa yote na kuwanyima watoto haki yao ya msingi
Wanaume wanaamini kuwa maziwa ya Mama aliyejifungua huwapa manufaa mengi sana
Kuna taarifa kuwa Wanaume hunyonya maziwa yote na kuwanyima watoto haki yao ya msingi
Wanaume wanaamini kuwa maziwa ya Mama aliyejifungua huwapa manufaa mengi sana