Uganda Vs Rwanda kimenuka

Ndani ya miaka 10 iliyopita mataifa hayo mawili kushirikiana na Kenya waliunda kitu kinaitwa collision of willingness their intention was to sideline Tz gafla wakaanza ku rish kuelekea political federation kumbe bado hatuja maliza makwazo ya kiuchumi na siasa za ajabu viongozi wanaleta personal issues zao ktk mambo ya kitaifa moja kwa moja
 
Tunataka Maendeleo Africa, kupigana si tija.Tushindane kwa maendeleo,sio Sifa zitakazowafaidisha watengeneza silaha.sifa za ubabe wa kivita zimepitwa na wakati.
 
Moja ya sababu ya Cow kuvunjika ni
Kenya iliona bila tz ni kazi bure pia huwa hawaamianiani na Uganda

Uganda na rwanda wakagundua pia uturivu wa nchi zao unategemea saana sera za tz

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Ni aibu sana kwa huyu Dr sizibera kama akiwa anashiriki kutia utambi ugomvi huu ilihali yy alikuwa katibu mkuu wa EAC so vyema akawa mshauri kwa pande zote mbili awe catalyst kuleta mazungumzo on table
 
Kama jiwe atajiingiza kwenye Vita kwa kuwa ni swaiba wa mtu fulani,hivyo Vita akapigane mwenyewe asipeleke vijana wetu.
 
Moja ya sababu ya Cow kuvunjika ni
Kenya iliona bila tz ni kazi bure pia huwa hawaamianiani na Uganda

Uganda na rwanda wakagundua pia uturivu wa nchi zao unategemea saana sera za tz

Sent using my iPhone using jamiiforum app

Siamini ktk ilo maana Kenya ndio alikuwa kinara maana by that time ndio alikuwa ana finalize SGR yake toka mombasa to Nairobi so alitaka kutumia iyo kama opportunity ku win biashara na mataifa haya mawili lkn pia apate nafas ya kuweka deal la SGR toka Nairobi to Kampala ili apenye ktk nchi zingine za Sadec hasa hasa DRC ... Ss ku fail kuweka SGR toka Nairobi to Kampala ime mkata steam . Lkn cha mubimu hawa viongozi wetu hawatakiwi kutuchagulia nani wa kufanya nae biashara cha muhimu wao wa play part yao ya kusimamia izo biashara
 
Kagame ana support ya raia wake while M7 mambo mazito nyumbani

Kwa hali ilivyo majasusi wameshindwa epusha huu mkanganyo imebaki wanasiasa wafanye kaz yao

Rwanda akiingia vitani tutarajie Congo na Burundi kuwa upande wa Uganda

M7 last month katanua jeshi lake na kuweka makamanda wapya zaidi ya 7 cheo kuanzia brigedia Jenerali ina maana vikosi vinatawanywa kwa formation mpya

Vita hakuna zaidi kinachoendelea ni matayarisho ya vita

Sisi kama TZ enzi ya JK ugonvi ushaisha kitambo now Prague imehamia Nairobi ndio maana mambo yamezid unga kila kona



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na likizo ya pasaka imekaribia, nahofia mabomu kutua Chato tukaanza shamra shamra kama za Ruge huku akina Konki Konki Master wakikamatwa na kuwekwa ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
#FoodForThought
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks, naamini hakuna chochote hapo ni mazoezi tuu ya kawaida ya kijeshi.
Media ya kwanza kuripoti hili ni Jarida la The Economist. Mimi nilisema humu, huo ni uongo.
Jarida la The Economist Kwa Uongo Limekubuhu, Laja na Uongo Kuhusu EAC Ladai TZ na Kenya Hazielewani. PK na YM Hawaivi, Burundi Kando!. - JamiiForums

To me, na huu utakuwa ni ule ule!.
Wajameni, haya mafuta ya Uganda mpaka yatoke, tutasikia mengi.
P
 
Hao hata siku moja hawawezi kuingia vitani, maana hao ni ndugu wa baba mmoja. Wasikupe hofu wataishia kutaniana hivo hivo kwa kusogeza vikosi vyao mipakani!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brother Chahali, kusema ule ukweli unahitajI pumzika kwa muda ujipe muda wa kuwaza namna ya kujenga hoja. Mengi unayoandika sio ya level yako
 
M7 na Mr Slim ni majasusi isije ikawa wametengeneza Picha waonekane wana uhasama kumbe ni conspiracy maana sijaelewa chanzo cha uhasama wao.
Hiki ndicho ambacho hata mimi nakifiria, kuna yule mpinzani wa Kagame aliyefia hotelini kule SA, of course Kagame ndiye aliyemuua; namna alivyo fanya ni kama hu "ugomvi" wake na M7, siamini kabisa kama M7 anaweza kua na bifu na Mr. Slim kwa maslahi ya Burundi, never, hawa watu ni maswahiba wakubwa na zipo habari kwamba hawa jamaa apart from uswahiba wao lakini pia ni ndugu, remember wakati M7 anaingia madarakani, Mr. Slim alikua one of the very senior officials kwenye serikali ya Uganda na the same guy (M7) ndiye aliyemsaidia PK kuingia madarakani kwenye ile vita ilimwaga damu nyingi sana za Watutsi kule Rwanda na Burundi kidogo; namshauri sana mhe No 1 wetu, asijiingize kwenya haya mambo, but kwa mwenendo anaokwenda nao raisi wetu nahisi hata yeye nae ni zao la USALAMA wa taifa and hence nae pia ni shushushu vile vile kama wao, Mungu ibariki Africa, Mungu ibariki Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…